Wanaukumbi.
CHADEMA ILITUMIA MILIONI 377 NJE YA BAJETI
Ukaguzi umebaini Tsh. 100,000,000 zilitumika kwa shughuli
ambazo hazikuwepo kwenye bajeti
Chama kilinunua Magari 5 kwa 227,430,000 na kutumia
50,000,000 kununua nyumba ya Ofisi Kanda ya Serengeti.
Ripoti ya CAG ukurasa 266, imebainisha kuwa kuna mkopo ambao haukuthibitishwa mapokeo yake. Agosti 26 Sh 866 milioni zililipwa kwa
mwanachama kwa niaba ya chama nje ya deni
hilo, kwa ajili ya mabango.
Sh765 milioni zililipwa kwa mwanachama kama marejesho ya fedha hizo bila kuambatanisha makubaliano ya
kisheria."
Nyie ndiyo mtakaka Katiba Mpya