LGE2024 CHADEMA Serengeti wafunguka walivyofanyiwa, rufaa zagonga mwamba

LGE2024 CHADEMA Serengeti wafunguka walivyofanyiwa, rufaa zagonga mwamba

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Baadhi ya wagombea nafasi za uongozi ndani ya CHADEMA wilayani Serengeti wameeleza changamoto walizokumbana nazo katika harakati zao za kisiasa. Wameeleza kuwa rufaa walizowasilisha kupinga matukio hayo zimekataliwa, wakidai kuwa haki haikutendeka. Hata hivyo, wamesisitiza kuendelea kupigania demokrasia na haki kwa wananchi.
Pia, Soma: Rufaa za CHADEMA Simiyu zagonga mwamba. Wagombea 200 waenguliwa
 
Back
Top Bottom