erasto Samwel
Member
- Sep 10, 2024
- 78
- 91
Ushauri wangu kwa Viongozi wa juu fanyeni juu chini mpeleke pesa ngazi za chini za chama za Mitaa na kata huko ndiko kuna kazi kubwa na zinahitaji pesa sana. Hizo nguvu za juu mzilete chini.
Mfano mawakala wanahitaji pesa wanahitaji chakula ili zoezi liwezekane vizuri. Kuna maeneo mawakala wa uandikishaji wa chama hawapo. Kuna watu wanajitoa kweli lakini na chama nanyi mjitoe kuisapoti msitegemee wafadhili siku hawapo.
Huku ngazi za chini ni muhimu mno hata ktk vitu tu vidogovidogo. Jimbo ukiwauliza nao wanalia kanda wanalia hakuna pesa.
Mfano mawakala wanahitaji pesa wanahitaji chakula ili zoezi liwezekane vizuri. Kuna maeneo mawakala wa uandikishaji wa chama hawapo. Kuna watu wanajitoa kweli lakini na chama nanyi mjitoe kuisapoti msitegemee wafadhili siku hawapo.
Huku ngazi za chini ni muhimu mno hata ktk vitu tu vidogovidogo. Jimbo ukiwauliza nao wanalia kanda wanalia hakuna pesa.