Hatuji huko ngazi za chini, yaani unataka ruzuku tugawane na hao wa ngazi ya mtaa, watatuona kwa TV tu, hatuji.
Na kama mnasubri tuje tuwakomboe na maisha yenu magumu, jidanganyeni. Wazee wenu wamewaachia mashamba sisi tuje tuwalimie? Kwani Kenya tangu katiba mpya kuna matajiri wameongezeka? Hayo ni makaratasi tu, yanasaidia William rutto na raila kula keki