Chadema siyo pango la wanyang'anyi

Chadema siyo pango la wanyang'anyi

Teh Teh Teh

Member
Joined
Nov 13, 2009
Posts
41
Reaction score
9
CHADEMA SIYO PANGO LA WANYANG'ANYI.

CHADEMA siku zote huchukua hatua!

Ilimsimamisha Chacha Wangwe alipokuwa akitumika, au kutumia vibaya madaraka yake kubomoa Chama akiwa ni Makamu Mwenyekiti - TAIFA.

Jopo la Wazee ilimshauri Zitto kidemokrasia kuondoa fomu yake, kwani CHAMA kisingeweza kuhimili ushindani wa WATU WAKUBWA kugombea nafasi moja. CHAMA KINGEPATA NYUFA. Busara ilitumika.

Wale wote wasaliti katika safari ya nchi ya ahadi, lazima waondolewe kwenye Chama au kwenye nafasi zao! Maafisa wawili hao kuondolewa ni hatua za kuigwa!!

Chama kipo makini sana! Hatutaki kuingia Ikulu tukiwa wachafu tusije tukaitia unajisi Sinagogi! (Ikulu ya watanzania).

Jicho la CHADEMA huangaza mahali pote kwa Tembo hata sisimizi! Chachu moja huchachua donge zima! Tunajenga kuta imara ili kuzuia nyufa siku za usoni!

CCM wao wanaogopa kuchukua hatua!!!!! Iacheni Chadema ichukue Hatua!!
 
Karibu sana JF Teh Teh Teh. Lakini cheka kwa taratibu.
 
tatizo la CHADEMA ni UKABILA na UDINI. Ondoeni hayo muweze kusurvive
 
tatizo la CHADEMA ni UKABILA na UDINI. Ondoeni hayo muweze kusurvive
wewe nani kakwambia hatusurvive, ujinga wa mawazo, wakati mwingine ni ubutu wa kuikiri hata propaganda ndogo Za CCM , shauri yako, utangoja wee CHADEMA ipasuke , aah wapi, tunajiandaa na UCHAGUZI MKUU MWAKANI, tukiwa tumewang'oa vibaraka, watoa siri, wasio majasiri, waleta fitina na majungu.
CHADEMA haivumilii ujinga-ujinga, majungu na ushenzi mwingine.
 
wewe nani kakwambia hatusurvive, ujinga wa mawazo, wakati mwingine ni ubutu wa kuikiri hata propaganda ndogo Za CCM , shauri yako, utangoja wee CHADEMA ipasuke , aah wapi, tunajiandaa na UCHAGUZI MKUU MWAKANI, tukiwa tumewang'oa vibaraka, watoa siri, wasio majasiri, waleta fitina na majungu.
CHADEMA haivumilii ujinga-ujinga, majungu na ushenzi mwingine.
Japo siwapendi CCM sijawahi kuwapigia kura since multi party system, lakini vilevile huko chadema Nani mgombea urais ndugu?? akiwa Slaa (former priest) kama muislam nitakuwa very skeptical na yeye unless a-prove beyond reasonable dought kwamba hatumikia kanisa bali taifa..akiwa mbowe mmetuangusha kwasababu he is below standard by all means the most he can do "awe kamanda wa vijana wa chadema finito" siyo rais (lol)...
 
mchekaji

nataka kuingia chadema, mipango yangu ninataka kuwa rais wa inchi hii, ebu nieleze ni kwa namna gani chadema inaweza ikatimiza ndoto zangu.
 
tatizo la CHADEMA ni UKABILA na UDINI. Ondoeni hayo muweze kusurvive

wewe ndio una udini..but Teh Teh amesema vyema kuwa CHADEMA sio pango la wanyang'anyi na hawaangalii sura wala status ya mtu katika kufanya maamuzi ...tazama CCM wanavyoshindwa kufanya maamuzi mazito simply kwa kuwa wanataka kulindani..hahaaaaa well done CHADEMA....
 
Japo siwapendi CCM sijawahi kuwapigia kura since multi party system, lakini vilevile huko chadema Nani mgombea urais ndugu?? akiwa Slaa (former priest) kama muislam nitakuwa very skeptical na yeye unless a-prove beyond reasonable dought kwamba hatumikia kanisa bali taifa..akiwa mbowe mmetuangusha kwasababu he is below standard by all means the most he can do "awe kamanda wa vijana wa chadema finito" siyo rais (lol)...

mkuu Tumain ...usihofu utampigia kura Profesa Ibrahim Haruna Lipumba maana yeye ni muislam na for sure hautakuwa skeptical.huhitaji kuumiza kichwa kumfikiria slaa
 
Japo siwapendi CCM sijawahi kuwapigia kura since multi party system, lakini vilevile huko chadema Nani mgombea urais ndugu?? akiwa Slaa (former priest) kama muislam nitakuwa very skeptical na yeye unless a-prove beyond reasonable dought kwamba hatumikia kanisa bali taifa..akiwa mbowe mmetuangusha kwasababu he is below standard by all means the most he can do "awe kamanda wa vijana wa chadema finito" siyo rais (lol)...

Mtoto wa nyoka ni nyoka tu. Huyu ni kibaraka wa Kanisa. na hata data zoooote alizonazo anapewa na KANISA.

hana jipya ni mnafiki tu na anaeiharibu CHADEMA.
 
CHADEMA SIYO PANGO LA WANYANG'ANYI.

CHADEMA siku zote huchukua hatua!

Ilimsimamisha Chacha Wangwe alipokuwa akitumika, au kutumia vibaya madaraka yake kubomoa Chama akiwa ni Makamu Mwenyekiti - TAIFA.

Jopo la Wazee ilimshauri Zitto kidemokrasia kuondoa fomu yake, kwani CHAMA kisingeweza kuhimili ushindani wa WATU WAKUBWA kugombea nafasi moja. CHAMA KINGEPATA NYUFA. Busara ilitumika.

Wale wote wasaliti katika safari ya nchi ya ahadi, lazima waondolewe kwenye Chama au kwenye nafasi zao! Maafisa wawili hao kuondolewa ni hatua za kuigwa!!

Chama kipo makini sana! Hatutaki kuingia Ikulu tukiwa wachafu tusije tukaitia unajisi Sinagogi! (Ikulu ya watanzania).

Jicho la CHADEMA huangaza mahali pote kwa Tembo hata sisimizi! Chachu moja huchachua donge zima! Tunajenga kuta imara ili kuzuia nyufa siku za usoni!

CCM wao wanaogopa kuchukua hatua!!!!! Iacheni Chadema ichukue Hatua!!
Hivi makao makuu ya Chadema yapo wapi? Moshi au Vatican?
 
Kigogo wacha kunivunja mbavu!!

Hii ni dalili tu ya maelezo kwamba huku jukwaani tunatofautiana sana kimtazamo, kiuchambuzi na kiupembuzi.
Tehe tehe tehe tehe taha taha taha.
Mkuu Tumaini upo hapo
 
Hivi makao makuu ya Chadema yapo wapi? Moshi au Vatican?

Content za Post zako nyingi ni!

1: Vatican
2: Ukatoliki
3: Chagga
4: Kilimanjaro
5: Moshi
6: Pengo

Yaani wewe Udini ni Ukatoliki na Ukabila ni Uchaga


Yaani Dr. Barubaru leo ukipewa huu Mtihani

Eleza maana ya maneno yafuatayo

1: Ukabila
2: Udini

Hakika utafeli, sijui ni Dr. wa nini may be Tunguli
 
Hivi makao makuu ya Chadema yapo wapi? Moshi au Vatican?

Hii kali!!!

Yatakuwa Vatican kama hiki ni chama cha Kikatoliki
Yatakuwa Moshi kama ni chama cha Wachagga.

Lakini kwa taarifa tu Makao Makuu ya CHADEMA yako mtaa wa Ufipa wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es salaam. Chadema sasa ina ofisi mikoa yote ya bara na zaidi ya nusu ya visiwani. Zaidi ya 70% ya wilaya za Tanzania zina ofisi za CHADEMA.

Karibuni kujadili
 
Back
Top Bottom