Nimeona nyomi la watu, check hapo chini mniambie wadau.
1.Mwenyekiti wa CHADEMA akiwatambulisha wakazi mjini Mwanza.
2.Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mabere Marando, ambaye alijunga na chama hicho hivi karibuni akitokea chama cha NCCR Mageuzi, akiwahutubia wakazi wa jiji la Mwanza, katika mkutano wa hadhara wa kuomba kudhaminiwa, aliuofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha jana.

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Deokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, akilakiwa na wakazi wa mji wa Musoma, mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa ndege wa Musoma, akitoea Arusha jana, ambako alikwenda kuomba udhamini.

Makamanda wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), akiwemo mgombea wa nafasi ya urais, Dk. Wilbrod Slaa (kulia), wakijadili ndani ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), kabla ya kuanza safari ya kwenda Mwanza kuomba udhamini jana. Katikati ni Mwenyekiti wa taifa, Freeman Mbowe na kushoto ni mwanachama mpya wa chama hicho, Mabere Marando.

Viongozi wa CHADEMA wakipanda ndege kutoka Arusha kwenda Mwanza
Source: Hakingowi blog
1.Mwenyekiti wa CHADEMA akiwatambulisha wakazi mjini Mwanza.
2.Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mabere Marando, ambaye alijunga na chama hicho hivi karibuni akitokea chama cha NCCR Mageuzi, akiwahutubia wakazi wa jiji la Mwanza, katika mkutano wa hadhara wa kuomba kudhaminiwa, aliuofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha jana.
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Deokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, akilakiwa na wakazi wa mji wa Musoma, mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa ndege wa Musoma, akitoea Arusha jana, ambako alikwenda kuomba udhamini.
Makamanda wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), akiwemo mgombea wa nafasi ya urais, Dk. Wilbrod Slaa (kulia), wakijadili ndani ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), kabla ya kuanza safari ya kwenda Mwanza kuomba udhamini jana. Katikati ni Mwenyekiti wa taifa, Freeman Mbowe na kushoto ni mwanachama mpya wa chama hicho, Mabere Marando.
Viongozi wa CHADEMA wakipanda ndege kutoka Arusha kwenda Mwanza
Source: Hakingowi blog