Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 3,506
- 2,606
Naamini kuna juhudi kubwaa zinafanyika chinichini ila wakati umefika mnatakiwa mtoe official stetement kuhusiana na dhamana ya Kombo.
Najiuliza hivi haya angekuwa ametendewa Heche au Lema kungekuwa na utulivu hivi? Polisi na mahakama wamewashinda ujanja?
Mwanachama wenu ataendelea kusota mpaka lini jela na majereha yake?
Naona mnashoboka na issue za Nape na Makamba wakati hazina umuhimu wowote.
Pia soma
Najiuliza hivi haya angekuwa ametendewa Heche au Lema kungekuwa na utulivu hivi? Polisi na mahakama wamewashinda ujanja?
Mwanachama wenu ataendelea kusota mpaka lini jela na majereha yake?
Naona mnashoboka na issue za Nape na Makamba wakati hazina umuhimu wowote.
Pia soma