LGE2024 CHADEMA Tabora Wadai kukacha Uchaguzi sababu ya Utekaji

LGE2024 CHADEMA Tabora Wadai kukacha Uchaguzi sababu ya Utekaji

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Torra Siabba

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
243
Reaction score
287
Wana Jamvi kuna mengine sio ya kuacha kabisa maana Wakati uchaguzi serikali za mitaaa ukitarajiwa kufanyika Novemba 27 Mwaka huu, leo wakati nimekaa kwenye kijiwe cha kahawa Ipuli hapa, nimepata taarifa kwamba Baadhi ya Waliokuwa wanataka kugombea nafadi za uenyekiti serikali za mitaa wamekacha kugombea wakiogopa kutekwa.

Wengine wanadai famillia zao zimewaambia kama hawajitaki basi waende wakagombee.

Watu wameingia mitini, kuna hatari ya CCM kushinda viti vyote kwenye huo Uchaguzi, maana nimeskia wagombea maarufu wanafuatwa kutishwa, wengine wanafuatwa na kupewa kiti kidogo wanakula Winga..
 
Wana Jamvi kuna mengine sio ya kuacha kabisa maana Wakati uchaguzi serikali za mitaaa ukitarajiwa kufanyika Novemba 27 Mwaka huu, leo wakati nimekaa kwenye kijiwe cha kahawa Ipuli hapa, nimepata taarifa kwamba Baadhi ya Waliokuwa wanataka kugombea nafadi za uenyekiti serikali za mitaa wamekacha kugombea wakiogopa kutekwa.

Wengine wanadai famillia zao zimewaambia kama hawajitaki basi waende wakagombee.

Watu wameingia mitini, kuna hatari ya CCM kushinda viti vyote kwenye huo Uchaguzi, maana nimeskia wagombea maarufu wanafuatwa kutishwa, wengine wanafuatwa na kupewa kiti kidogo wanakula Winga..
Sasa tuongelee kahawa au uchaguzi? Mimi nilikuwa kwenye kijiwe cha ganja nikatonywa kuwa CCM imeiba kura zote kupitia wanafunzi wa shule za msingi huko Isevya na Chemchem.
 
Back
Top Bottom