Elections 2010 Chadema tumeshinda biharamulo mashariki

HIMO ONE

Senior Member
Joined
Sep 6, 2010
Posts
128
Reaction score
7
Source channel ten sas hivi

kwa taarifa zilizokamilika ni kuwa jimbo la biharamulo magharibi(chato)limechukuliwa na magufuli wa ccm,jimbo la biharamulo magharibi limechukuliwa na chadema,big up chademist
 
Biharamulo mashariki-chadema
biharamulo magharibi-ccm
 
Heading bado inanichanganya.


Heading iko wazi "yeye kama mwanachadema anayo furaha kuu kutujulisha ya kwamba CCM wamenyolewa bila maji jimbo la b'lo mashariki" kwa hiyo meza wembe kama hutaki

Zee la Chato Nyakakarango upo!
 
Hilo ndo jimbo lililokuwa zamani la yule mzee wa TLP Kabuye (marehemu)?
 
Unatuchanganya. Ni hivi: Jimbo la B'mulo Mashariki (Chato) Ndo Magufuri na B'mulo Magharibi (Biharamulo) Kwetu ni Dr Mbassah(Chadema) Hatuna utani Bi'mulo!
 
mwaka huu lazma mavi yawagonge chupui awa ccm
:yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield:
 
Source channel ten sas hivi

kwa taarifa zilizokamilika ni kuwa jimbo la biharamulo magharibi(chato)limechukuliwa na magufuli wa ccm,jimbo la biharamulo magharibi limechukuliwa na chadema,big up chademist

Samahani Mkuu/wakuu naomba ufafanuzi hapo kwenye RED!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…