Elections 2010 CHADEMA Tumieni busara WaTz wanawapima kwa miaka 5 hii

Elections 2010 CHADEMA Tumieni busara WaTz wanawapima kwa miaka 5 hii

charityboy

Senior Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
138
Reaction score
4
Jamani tunaomba wabunge wa CDM wawe makini sana. Wenzao wa CCM, CUF, TLP na NCCR wamezama na kubobea kwenye siasa kwa muda mrefu. Nina wasiwasi kuwa badala ya kujijenga kwenye bunge hili ili wafaidike 2015, huenda wakaharibu zaidi na kufutika kwenye ramani ya siasa za bongo. Hivi wabunge wa CDM watatoka bungeni mara ngapi? Hii njia aliyobuni mbowe ya kutoka bungeni nafikiri sio muafaka. Nahisi mhe. ZITTO alikuwa sahihi alipokataa kutoka bungeni kugomea hotuba ya Mhe. RAIS.
 
Jamani tunaomba wabunge wa CDM wawe makini sana. Wenzao wa CCM, CUF, TLP na NCCR wamezama na kubobea kwenye siasa kwa muda mrefu. Nina wasiwasi kuwa badala ya kujijenga kwenye bunge hili ili wafaidike 2015, huenda wakaharibu zaidi na kufutika kwenye ramani ya siasa za bongo. Hivi wabunge wa CDM watatoka bungeni mara ngapi? Hii njia aliyobuni mbowe ya kutoka bungeni nafikiri sio muafaka. Nahisi mhe. ZITTO alikuwa sahihi alipokataa kutoka bungeni kugomea hotuba ya Mhe. RAIS.
Wewe ni Chadema? Kama sio acha waliopigia kura wabunge wa Chadema walalamike. Chadema wamefanya kile ambacho tu wanachama wake tunakitaka, ndicho tulichowatuma huko bungeni...kupigana na udhalimu na ufisadi. Hata kama wakitoka kila siku kwa hoja sizizo na tija, tutawaunga mkono.

Hatulali...mpaka kieleweke!
 
kumbe ww c chadema....sasa umejuaje kama hatujawatuma hivo wanavofanya???? nyambaf kimyaaaaaaaaaaaa
 
:A S thumbs_down:
Mbona unatusemea??? We chizi kweli, nenda kawashauri washamba wenzako waliopoteza mwelekeo na kufanya mambo kama watoto wa chekechea.
 
jamani tunaomba wabunge wa cdm wawe makini sana. Wenzao wa ccm, cuf, tlp na nccr wamezama na kubobea kwenye siasa kwa muda mrefu. Nina wasiwasi kuwa badala ya kujijenga kwenye bunge hili ili wafaidike 2015, huenda wakaharibu zaidi na kufutika kwenye ramani ya siasa za bongo. Hivi wabunge wa cdm watatoka bungeni mara ngapi? Hii njia aliyobuni mbowe ya kutoka bungeni nafikiri sio muafaka. Nahisi mhe. zitto alikuwa sahihi alipokataa kutoka bungeni kugomea hotuba ya mhe. Rais.

hapo kwenye red, acha kupotosha, zitto hakuwepo ndani ya bunge kabisa. Wewe ubongo wako utakuwa umejaa usaha, chadema hawaangalii kufaidika 2015 tu, bali wanaangalia utekelezaji wa majukumu pamoja na kutokukubali kuburuzwa na hao wanaume zako uliotaja hapo juu.
 
Jamani tunaomba wabunge wa CDM wawe makini sana. Wenzao wa CCM, CUF, TLP na NCCR wamezama na kubobea kwenye siasa kwa muda mrefu. Nina wasiwasi kuwa badala ya kujijenga kwenye bunge hili ili wafaidike 2015, huenda wakaharibu zaidi na kufutika kwenye ramani ya siasa za bongo. Hivi wabunge wa CDM watatoka bungeni mara ngapi? Hii njia aliyobuni mbowe ya kutoka bungeni nafikiri sio muafaka. Nahisi mhe. ZITTO alikuwa sahihi alipokataa kutoka bungeni kugomea hotuba ya Mhe. RAIS.

Acha ushoga wewe dada!
 
Sikia mkuu,cdm haitafuti kufaidika 2015,inatafuta kutukomboa kutoka kwenye mfumo mpya wa uchimi-ccm. Jana Mbowe kawaeleza wazi kuwa iyo itakuwa njia mojawapo ya kukataa hoja dhalimu milele watatoka nje kutueleza watz kuwa kilicho ndani ya bunge kwa wakati watakapokuwa nje ni uozo! Iyo itadumu kwa miaka 5,jitaidi uzoee mfumo wao mpya maana ni endelevu.
 
inatia kinyaa sana kuona wezi wa mali ya uma kwa kutumia wingi wao wanapitisha mambo yasiyo na toja kwenye muhimili wa dola kwa sababu ya ulegevu wa sheria na kanuni mbaya.
kifupi siwaungi mkono sana cdm katika namna wanavyoshughulikia maswala nyeti ya maslahi ya uma bungeni lakini mahali popote penye uonevu na ukandamizaji wa haki hilo ndilo wanalopaswa kulifanya.
waziri mkuu asubuhi hii kalidanganya bunge mbunge anaomba mwongozo wa spika anakaripiwa hapo unategemea nini?spika ni kiongozi wa kanuni za bunge na akishachaguliwa haitegemewi awe anakibeba chama chake waziwazi namna hii.
juzi halima mdee wakati anachangia hoja ya kanuni aliwaambia wabunge wa ccm wasifikiri wataupunguza moto wa cdm kwa kutumia wingi wao kuburuza kanuni lakini cha ajabu badala ccm wamjibu spika akarukia kwamba unamtisha nani?
ndiye spika tuliye nae tunayetegemea aliendeshe bunge la karne hii lenye chanagamoto nyingi.
chadema endeleeni na moto huohuo mpaka haki ipatikane.watanzania wapenda haki tupo nyuma yenu.
 
jamani tunaomba wabunge wa cdm wawe makini sana. Wenzao wa ccm, cuf, tlp na nccr wamezama na kubobea kwenye siasa kwa muda mrefu. Nina wasiwasi kuwa badala ya kujijenga kwenye bunge hili ili wafaidike 2015, huenda wakaharibu zaidi na kufutika kwenye ramani ya siasa za bongo. Hivi wabunge wa cdm watatoka bungeni mara ngapi? Hii njia aliyobuni mbowe ya kutoka bungeni nafikiri sio muafaka. Nahisi mhe. Zitto alikuwa sahihi alipokataa kutoka bungeni kugomea hotuba ya mhe. Rais.

kampe baba yako jk ushauri huu wa bure.
 
Huna hoja kbs, kutoka nje ni suala lipo tena siku nyingi, sema ni geni Tanzania. Uko upande mmoja na wanaCCM wenzio wanaona ni kitu cha ajabu, kumbe it's one way of expressing your concerns and dissatisfaction. Sasa hapo aliebobea ktk siasa ni nani? Anaetoka au anaeshangaa watu kutoka kama kwamba ni majambozi. You're as outdated/obsolete as CCM.
 
Jamani tunaomba wabunge wa CDM wawe makini sana. Wenzao wa CCM, CUF, TLP na NCCR wamezama na kubobea kwenye siasa kwa muda mrefu. Nina wasiwasi kuwa badala ya kujijenga kwenye bunge hili ili wafaidike 2015, huenda wakaharibu zaidi na kufutika kwenye ramani ya siasa za bongo. Hivi wabunge wa CDM watatoka bungeni mara ngapi? Hii njia aliyobuni mbowe ya kutoka bungeni nafikiri sio muafaka. Nahisi mhe. ZITTO alikuwa sahihi alipokataa kutoka bungeni kugomea hotuba ya Mhe. RAIS.

Kama hujui Mabunge ya Dunia na Purukushani zake kwa nini Utoe maoni na ushauri butu??
Kwa nini uwe na wasiwasi??


Hivi wewe unadhani CDM ndiyo wabunge wa kwanza Duniani kususia Vikao katika Duru za Mabunge ya Common Wealth??

Hiyto Tisa Subiri siku ngumi mateke na kabari zikifumuka ndani ya Bunge utapata ugonjwa wa moyo ufe kwa mshangao.
 
Wewe ni Chadema? Kama sio acha waliopigia kura wabunge wa Chadema walalamike. Chadema wamefanya kile ambacho tu wanachama wake tunakitaka, ndicho tulichowatuma huko bungeni...kupigana na udhalimu na ufisadi. Hata kama wakitoka kila siku kwa hoja sizizo na tija, tutawaunga mkono.

Hatulali...mpaka kieleweke!

Kitaeleweka hapo nyuma ya PC kweli?tusubiri tuone!!
 
Wewe ni Chadema? Kama sio acha waliopigia kura wabunge wa Chadema walalamike. Chadema wamefanya kile ambacho tu wanachama wake tunakitaka, ndicho tulichowatuma huko bungeni...kupigana na udhalimu na ufisadi. Hata kama wakitoka kila siku kwa hoja sizizo na tija, tutawaunga mkono.

Hatulali...mpaka kieleweke!

sema wewe unaridhika ila sio wapigakura wengine usizisemee nafsi za watu,watu wamewapigia kura wabunge wa chadema waende wakawatee nakuwaletea maendeleo sio kugomagoma nakutoka kilasiku bungeni,tatizo wanaburuzwa nahuyo j**a mbowe toka lini mtu aliefeli form 4 akawa kinara wa kisiasa kama sio uzumbukuku?
 
Maneno yako sawia. Unajua Chadema hawajijui kuwa wao ni wachanga saaaana kisiasa. sasa wanataka wanze kwa moto Mkali.

hawajui kuwa wanataka kudandia treni kwa mbele. Ngoja tuone mwisho wao..
 
Kitaeleweka hapo nyuma ya PC kweli?tusubiri tuone!!
aaah dada naona umetumwa na ccm au wewe mke wa makamba au ndo ziiile za mkwere kupiga kiaina na unamtetea, tunajua saana kuwa anapenda totooozi!
 
Back
Top Bottom