Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wanabodi,
Kabla ya kuendelea mbele ningependa kuwapongeza CHADEMA kwa kuandaa na kushiriki kwenye maandamano. Pamoja na CCM kutumia nguvu nyingi kuzuia lakini mlijitahidi sana kufikisha ujumbe wenu kwa serikali.
Leo nilikuwa napitia ilani yenu ya 2020 kwa mara nyingine na nigewaomba pale kwenye sehemu ya vipaumbele 20 muongeze kipengele cha mabadiliko ya tabia ya nchi.
Soma pia: Kuelekea 2025 Kwanini vyama vya siasa kila siku ni katiba mpya na ununuzi wa ndege? Athari za mabadiliko ya nchi kwanini hamzipi vipaumbele?
Kwa sasa nchi yetu inapitia kipindi kigumu sana kwenye suala zima la mazingira.
Mafuriko yamekuwa makubwa, ukame umeshamiri hasa kwenye kanda ya kati ya nchi yetu na hata nyuzi joto pia zimeongezeka. Hizo zote ni ishara kuwa mabadiliko ya tabia ya nchi yanaendelea kwa kasi sana nchini kwetu.
As much as Katiba mpya ni muhimu, tume huru inahitajika na CCM inatakiwa kung'olewa madarakani lakini suala la mazingira na mabadiliko ya tabia ya nchi pia ni kitu cha muhimu.
Mtanisaidia kuwatag Mbowe, Mnyika na Lissu kama wana ID humu ili niweze kufikisha ujumbe wangu.
Nawasilisha,
Kabla ya kuendelea mbele ningependa kuwapongeza CHADEMA kwa kuandaa na kushiriki kwenye maandamano. Pamoja na CCM kutumia nguvu nyingi kuzuia lakini mlijitahidi sana kufikisha ujumbe wenu kwa serikali.
Leo nilikuwa napitia ilani yenu ya 2020 kwa mara nyingine na nigewaomba pale kwenye sehemu ya vipaumbele 20 muongeze kipengele cha mabadiliko ya tabia ya nchi.
Soma pia: Kuelekea 2025 Kwanini vyama vya siasa kila siku ni katiba mpya na ununuzi wa ndege? Athari za mabadiliko ya nchi kwanini hamzipi vipaumbele?
Kwa sasa nchi yetu inapitia kipindi kigumu sana kwenye suala zima la mazingira.
Mafuriko yamekuwa makubwa, ukame umeshamiri hasa kwenye kanda ya kati ya nchi yetu na hata nyuzi joto pia zimeongezeka. Hizo zote ni ishara kuwa mabadiliko ya tabia ya nchi yanaendelea kwa kasi sana nchini kwetu.
As much as Katiba mpya ni muhimu, tume huru inahitajika na CCM inatakiwa kung'olewa madarakani lakini suala la mazingira na mabadiliko ya tabia ya nchi pia ni kitu cha muhimu.
Mtanisaidia kuwatag Mbowe, Mnyika na Lissu kama wana ID humu ili niweze kufikisha ujumbe wangu.
Nawasilisha,