CHADEMA tunayo mapungufu mengi sawa ila hili sina hakika

CHADEMA tunayo mapungufu mengi sawa ila hili sina hakika

lwaitama1

Member
Joined
Nov 8, 2021
Posts
39
Reaction score
196
Kila Chama cha siasa nchini kina mapungufu makubwa sana na mengi . Ntamshangaa Mtanzania anayedhani Chama anachounga mkono hakina mapungufu!

Nakuja Kwa CHADEMA Chama changu amabcho naamini sana katika falsafa zake kina mapungufu Kama vyama vingine

Ambayo sitayaweka hadharani ila Kuhusu Suala la COVID 19

Kuna Mijadala isiyo na afya kwamba Mbowe anajua kwamba walienda kuapa Kwa ruhusa yake kuwa wabunge! Mimi Kama binadamu naweza nikayumbishwa kuaminishwa hivo, swali wanaloshindwa kujibu je Nusrat hanje mbowe alikuwa na mamlaka gani kumtoa gerezani usiku? Tafakari


Mwalimu
 
Sasa wewe mtu kabla ya kikao cha kamati kuu akasepa Ikulu , ulifkr walikuwa wanapiga soga? mashabiki wa Mbowe bhana ...!!
 
Sasa wewe mtu kabla ya kikao cha kamati kuu akasepa Ikulu , ulifkr walikuwa wanapiga soga? mashabiki wa Mbowe bhana ...!!
Unadhani Ikulu unaingia kama chumbani kwako unavyojisikia? Ni Mpango wa Mama kukutana na Viongozi wa vyama, leo ilikuwa ni Lipumba wa CUF, unalisemeaje hilo!
 
Kila Chama cha siasa nchini kina mapungufu makubwa sana na mengi . Ntamshangaa Mtanzania anayedhani Chama anachounga mkono hakina mapungufu...

Uko sahihi sana kuhusu hilo la Nusrat, lakini Mbowe kwenye hili jambo ni ngumu kuwa na imani naye. Nadhani hata yeye anajua fika hakunyooka kwenye hili, na hizi safari zake za ikulu bila wenzake wa CDM, linanipa shaka ya wazi kuhusu sakata hili.

Nawapongeza wajumbe wa mkutano mkuu wa CDM kwa kumataka palipostahili. Mzee wetu mshauri Mbowe kuwa sasa ni muda sahihi wa yeye kustaafu. Hawezi tena kuindesha CDM kwa maagizo ya ccm.
 
Uko sahihi sana kuhusu hilo la Nusrat, lakini Mbowe kwenye hili jambo ni ngumu kuwa na imani naye. Nadhani hata yeye anajua fika hakunyooka kwenye hili, na hizi safari zake za ikulu bila wenzake wa CDM, linanipa shaka ya wazi kuhusu sakata hili.

Nawapongeza wajumbe wa mkutano mkuu wa CDM kwa kumataka palipostahili. Mzee wetu mshauri Mbowe kuwa sasa ni muda sahihi wa yeye kustaafu. Hawezi tena kuindesha CDM kwa maagizo ya ccm.
Kabisa
 
Kila Chama cha siasa nchini kina mapungufu makubwa sana na mengi . Ntamshangaa Mtanzania anayedhani Chama anachounga mkono hakina mapungufu!

Nakuja Kwa CHADEMA Chama changu amabcho naamini sana katika falsafa zake kina mapungufu Kama vyama vingine

Ambayo sitayaweka hadharani ila Kuhusu Suala la COVID 19

Kuna Mijadala isiyo na afya kwamba Mbowe anajua kwamba walienda kuapa Kwa ruhusa yake kuwa wabunge! Mimi Kama binadamu naweza nikayumbishwa kuaminishwa hivo, swali wanaloshindwa kujibu je Nusrat hanje mbowe alikuwa na mamlaka gani kumtoa gerezani usiku? Tafakari


Mwalimu
NI WAJINGA TU WATAKAOAMINI KUWA MBOWE anaweza kumtoa Mtuhumiwa Gerezani
 
Back
Top Bottom