Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo Wabunge wetu Wengi walishinda Kwenye kura za Maoni CCM tu huko kwa Wananchi hawajulikanijoni kuna wito wenu huku. Itisheni mkutano mtest mitambo.
Kumbukeni nguvu ya umma itatupa katiba mpya ikibidi. Uchaguzi ni wenu.
Wapo wanaojulikana kama JERRY slaa lakini kwa jinsi anavyochukiwa huku ukonga kwa kudharau wananchi sambamba na kutowasemea bungeni matatizo yao makuu ya barabara na maji, akiitisha mkutano anaweza kujikuta anahutubia Kuku [emoji215] na chawa wake peke eTatizo Wabunge wetu Wengi walishinda Kwenye kura za Maoni CCM tu huko kwa Wananchi hawajulikani
Tatizo Wabunge wetu Wengi walishinda Kwenye kura za Maoni CCM tu huko kwa Wananchi hawajulikani
Hakika ukweli umekuweka huruTatizo Wabunge wetu Wengi walishinda Kwenye kura za Maoni CCM tu huko kwa Wananchi hawajulikani
Umeanza utata sasa, we mtata mkubwa hueleweki! Umeamkaje lakini au bado umelala saa 11 asubuhi.Tatizo Wabunge wetu Wengi walishinda Kwenye kura za Maoni CCM tu huko kwa Wananchi hawajulikani
Ccm watamsaidia kujaza uwanja na Mgeni rasmi atatoka CCMKama John Momose Cheyo haoni tofauti ya chama chake na ccm aitishe mkutano pale jangwani au Bariadi tuone watu wangapi watajitokeza kumsikiliza
Haya mambo naona inabidi ifike mahala tukubaliane, Chadema kujaza watu kwenye mikutano ya hadhara sio jambo la ajabu, ni kawaida, kwani wamekuwa wakifanya hivyo miaka yote, tatizo linakuja pale kwenye finishing line ...
Kwa maoni yangu, hapo ndio pakutilia mkazo zaidi, huku kwingine kwa watanzania naamini kazi iliisha siku nyingi.