CHADEMA Tunduma katika Picha Kazi ipo

CHADEMA Tunduma katika Picha Kazi ipo

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Leo ilikuwa siku nyingine.

Nani aliwandanganya hawa ndugu?

FpbIYBHXwAAehTp.jpeg


Hii ndiyo CHADEMA Tunduma leo. Chama baba lao.

FpvlbhWWYAQUY1C.jpeg


FpvlbhXXsAE3Wfo.jpeg


FpvV73LXsAAyrB5.jpeg


FpvWcVrXEAAYqDD.jpeg


FpvWMwbWAAENvge.jpeg


FpvV73LXsAAyrB5.jpeg


FpvWKO4XsAEfUOu.jpeg


Tunataka katiba mpya sasa.
 
Tatizo Wabunge wetu Wengi walishinda Kwenye kura za Maoni CCM tu huko kwa Wananchi hawajulikani
Wapo wanaojulikana kama JERRY slaa lakini kwa jinsi anavyochukiwa huku ukonga kwa kudharau wananchi sambamba na kutowasemea bungeni matatizo yao makuu ya barabara na maji, akiitisha mkutano anaweza kujikuta anahutubia Kuku [emoji215] na chawa wake peke e
 
Haya mambo naona inabidi ifike mahala tukubaliane, Chadema kujaza watu kwenye mikutano ya hadhara sio jambo la ajabu, ni kawaida, kwani wamekuwa wakifanya hivyo miaka yote, tatizo linakuja pale kwenye finishing line ...

Kwa maoni yangu, hapo ndio pakutilia mkazo zaidi, huku kwingine kwa watanzania naamini kazi iliisha siku nyingi.
 
Haya mambo naona inabidi ifike mahala tukubaliane, Chadema kujaza watu kwenye mikutano ya hadhara sio jambo la ajabu, ni kawaida, kwani wamekuwa wakifanya hivyo miaka yote, tatizo linakuja pale kwenye finishing line ...

Kwa maoni yangu, hapo ndio pakutilia mkazo zaidi, huku kwingine kwa watanzania naamini kazi iliisha siku nyingi.

Kwenye finishing line ni muhimu sana. Hapo muhimu kufahamu mtaji wa chama ni watu na katiba mpya haitapatikana kwa kuicheza ngoma ya CCM.
 
Back
Top Bottom