in connection to this, mimi kwa sasa nipo mbali kidogo na our beloved bongo.nikiwa hapo magazeti yangu huwa ni mwanahalisi, tanzania daima, mwananchi then nipashe majira. sasa kwenye mtandao nikiangalia gazeti la mwanahalisi silioni kabisa,ukilipata ni baada ya siku kadhaa kupita,wana tatizo gani?nakosa sana investigative taarifa zao! nifanyagaje? afadhali mwananchi,t.daima wanaonekanaonekana