LGE2024 Chadema, Uchaguz ni hesabu na mipango

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,262
Reaction score
2,184
Tunatambua mchango wenu katika kuikosoa serikal katika vyama vya upinzan vilivyo kaza bas ni chadema vyama vongine ni wakat wa uchaguz kisha hupotea

Uchaguz ni hesabu na mipango mipango huanza mapema wenzenu ccm wako busy na michakato ya kuwaandaa watu kisaikolojia juu ya wagombea wanaitisha chaguz tunaona sasa nyiny mko kimya sanaaa kama hakuna uchaguz mbeke yenu

Na matokeo yakitangazwa mnakimbilia kusema mmeibiwa kura kumbe mipango na malengo hamna

Najua mtanitukana lakin mimi nawakubal na nawastua muamke mpite njia wanazopita wenzenu

Maana tunawasikia viongoz wa ccm wakitoa nasaha mbali mbal kuhusu uchaguz na kuwasihi wagombea na wapiga kura wa ccm kujiandaa ila kamanda mbowe na wengine wameufyata kama ni jambp lisilowahusu

Asanteni kwa kinisikiliza
 
Chadema ilishajifia zamani tu, kimebaki kiwiliwili peke yake. Hata nyoka anaweza kupondwa kichwa kabisa, lakini kiwiliwili kikawa bado kinajigeuza!
 
Erythrocyte please take note of this seriously.
 
Ccm ni wezi wa kura hata mtt mdogo anajua hilo au umejizima data uect hujui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…