LGE2024 CHADEMA, vijana wengi wamejiandikisha tokeni maofisini nendeni mitaani mkawahamasishe wapige kura

LGE2024 CHADEMA, vijana wengi wamejiandikisha tokeni maofisini nendeni mitaani mkawahamasishe wapige kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Kwa takwimu za Mchengerwa watu wote wenye umri wa kupiga kura 98% wameandikishwa ambao wengi wao ni vijana.

CHADEMA huwa mnajinadi kuwa chama chenu kina hazina kubwa ya vijana mnataka Mungu awape nini zaidi awaletee kipande cha dhahabu kwenye sinia.

Mnatakiwa mjue kuwa kila jambo huletwa na Mungu kwa makusudi najua hata CCM wanajuta kwanini wamedanganya idadi kubwa kiasi hiki.

Nategemea viongozi wote wa majimbo watakuwa wanajiandaa na kampeni za kuhamasisha watu wajitokeze kwa wingi siku ya kupiga kura ambayo ni November 27.

Pamoja na mapungufu yaliyojitokeza kwenye zoezi la uandikishaji haitakiwi kuendelea kulalamika. Sisi wapenzi wa mpira wa miguu refa akikubali goli la off side hatutoi timu uwanjani inaendelea na mchezo hadi dakika ya 90.

CCM haitatoka madarakani kwa maandamano bali kwa kura nyingi, yes, leo watafanikiwa kuiba lkn kuna siku hata wizi wao utashindikana mkijitokeza wengi kupiga kura
 
Kwa takwimu za Mchengelwa watu wote wenye umri wa kupiga kura 98% wameandikishwa ambao wengi wao ni vijana.

CHADEMA huwa mnajinadi kuwa chama chenu kina hazina kubwa ya vijana mnataka Mungu awape nini zaidi awaletee kipande cha dhahabu kwenye sinia.

Mnatakiwa mjue kuwa kila jambo huletwa na Mungu kwa makusudi najua hata CCM wanajuta kwanini wamedanganya idadi kubwa kiasi hiki.

Nategemea viongozi wote wa majimbo watakuwa wanajiandaa na kampeni za kuhamasisha watu wajitokeze kwa wingi siku ya kupiga kura ambayo ni November 27.

Pamoja na mapungufu yaliyojitokeza kwenye zoezi la uandikishaji haitakiwi kuendelea kulalamika. Sisi wapenzi wa mpira wa miguu refa akikubali goli la off side hatutoi timu uwanjani inaendelea na mchezo hadi dakika ya 90.

CCM haitatoka madarakani kwa maandamano bali kwa kura nyingi, yes, leo watafanikiwa kuiba lkn kuna siku hata wizi wao utashindikana mkijitokeza wengi kupiga kura
Watu wengi hawajajiandikisha, hiyo idadi ya kupika achana nayo. Hakuna uwezekano wa watu kuendelea kushiriki miaka yote chaguzi za hadaa. Ni kweli huwezi kutoa team nje kwa goli la offside, lakini haiwezekani magoli ya offside yakawa mengi team ikaendelea kubaki uwanjani.

Hakuna kuendelea kushiriki chaguzi za kishenzi tukitegemea mabadiliko, ni aidha machafuko au mapinduzi ya kijeshi ili heshima ya box la kura irejee.
 
Kwa takwimu za Mchengelwa watu wote wenye umri wa kupiga kura 98% wameandikishwa ambao wengi wao ni vijana.

CHADEMA huwa mnajinadi kuwa chama chenu kina hazina kubwa ya vijana mnataka Mungu awape nini zaidi awaletee kipande cha dhahabu kwenye sinia.

Mnatakiwa mjue kuwa kila jambo huletwa na Mungu kwa makusudi najua hata CCM wanajuta kwanini wamedanganya idadi kubwa kiasi hiki.

Nategemea viongozi wote wa majimbo watakuwa wanajiandaa na kampeni za kuhamasisha watu wajitokeze kwa wingi siku ya kupiga kura ambayo ni November 27.

Pamoja na mapungufu yaliyojitokeza kwenye zoezi la uandikishaji haitakiwi kuendelea kulalamika. Sisi wapenzi wa mpira wa miguu refa akikubali goli la off side hatutoi timu uwanjani inaendelea na mchezo hadi dakika ya 90.

CCM haitatoka madarakani kwa maandamano bali kwa kura nyingi, yes, leo watafanikiwa kuiba lkn kuna siku hata wizi wao utashindikana mkijitokeza wengi kupiga kura
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 3
Watu wengi hawajajiandikisha, hiyo idadi ya kupika achana nayo. Hakuna uwezekano wa watu kuendelea kushiriki miaka yote chaguzi za hadaa. Ni kweli huwezi kutoa team nje kwa goli la offside, lakini haiwezekani magoli ya offside yakawa mengi team ikaendelea kubaki uwanjani.

Hakuna kuendelea kushiriki chaguzi za kishenzi tukitegemea mabadiliko, ni aidha machafuko au mapinduzi ya kijeshi ili heshima ya box la kura irejee.
Ukitoa timu uwanjani timu pinzani inapwewa point 3 na huwezi kuzidai popote.
 
Kwa takwimu za Mchengelwa watu wote wenye umri wa kupiga kura 98% wameandikishwa ambao wengi wao ni vijana.

CHADEMA huwa mnajinadi kuwa chama chenu kina hazina kubwa ya vijana mnataka Mungu awape nini zaidi awaletee kipande cha dhahabu kwenye sinia.

Mnatakiwa mjue kuwa kila jambo huletwa na Mungu kwa makusudi najua hata CCM wanajuta kwanini wamedanganya idadi kubwa kiasi hiki.

Nategemea viongozi wote wa majimbo watakuwa wanajiandaa na kampeni za kuhamasisha watu wajitokeze kwa wingi siku ya kupiga kura ambayo ni November 27.

Pamoja na mapungufu yaliyojitokeza kwenye zoezi la uandikishaji haitakiwi kuendelea kulalamika. Sisi wapenzi wa mpira wa miguu refa akikubali goli la off side hatutoi timu uwanjani inaendelea na mchezo hadi dakika ya 90.

CCM haitatoka madarakani kwa maandamano bali kwa kura nyingi, yes, leo watafanikiwa kuiba lkn kuna siku hata wizi wao utashindikana mkijitokeza wengi kupiga kura
Wao kazi zao kuu ni
1. Kulalamikia mchakato wa uandikishwaji ilihali uko sawa
2. Kutafuta dosari zisizokuwepo
3. Kutukana matusi mama na serkali yake
4. Kuitisha maandamano huku wamelala ndani
5
 
Wao kazi zao kuu ni
1. Kulalamikia mchakato wa uandikishwaji ilihali uko sawa
2. Kutafuta dosari zisizokuwepo
3. Kutukana matusi mama na serkali yake
4. Kuitisha maandamano huku wamelala ndani
5
Ukitoa timu uwanjani timu pinzani inapwewa point 3 na huwezi kuzidai popote.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 3
Kwa takwimu za Mchengelwa watu wote wenye umri wa kupiga kura 98% wameandikishwa ambao wengi wao ni vijana.

CHADEMA huwa mnajinadi kuwa chama chenu kina hazina kubwa ya vijana mnataka Mungu awape nini zaidi awaletee kipande cha dhahabu kwenye sinia.

Mnatakiwa mjue kuwa kila jambo huletwa na Mungu kwa makusudi najua hata CCM wanajuta kwanini wamedanganya idadi kubwa kiasi hiki.

Nategemea viongozi wote wa majimbo watakuwa wanajiandaa na kampeni za kuhamasisha watu wajitokeze kwa wingi siku ya kupiga kura ambayo ni November 27.

Pamoja na mapungufu yaliyojitokeza kwenye zoezi la uandikishaji haitakiwi kuendelea kulalamika. Sisi wapenzi wa mpira wa miguu refa akikubali goli la off side hatutoi timu uwanjani inaendelea na mchezo hadi dakika ya 90.

CCM haitatoka madarakani kwa maandamano bali kwa kura nyingi, yes, leo watafanikiwa kuiba lkn kuna siku hata wizi wao utashindikana mkijitokeza wengi kupiga kura
hali ni mbaya kama tu huku mitaani kwenye ukura za maoni ccm wanauana wenyewe kwa wenyewe habari gani kwenye uchaguzi wakishindana na wapinzani
 
Takwimu hazidanganyi, vyama vya upinzani vilianzishwa kuwafurahisha Wazungu na taasisi zao kama World Bank NK, watanzania hatuoni faida ya upinzani!
CCM ni wa hovyo kuliko hata Daniel François Malan ila namna ya kuwaondoa ni kupitia humo humo CCM na sio vyama hivi vya kionozi WA chama na kimada wake mbunge viti maalum!
 
Takwimu hazidanganyi, vyama vya upinzani vilianzishwa kuwafurahisha Wazungu na taasisi zao kama World Bank NK, watanzania hatuoni faida ya upinzani!
CCM ni wa hovyo kuliko hata Daniel François Malan ila namna ya kuwaondoa ni kupitia humo humo CCM na sio vyama hivi vya kionozi WA chama na kimada wake mbunge viti maalum!
Vyama vya upinzani havitakiwi. Sasa CCM nayo iondolewe ili iweje?; nani aongoze nchi?

Frame your thinking properly.
 
Kwa takwimu za Mchengerwa watu wote wenye umri wa kupiga kura 98% wameandikishwa ambao wengi wao ni vijana.

CHADEMA huwa mnajinadi kuwa chama chenu kina hazina kubwa ya vijana mnataka Mungu awape nini zaidi awaletee kipande cha dhahabu kwenye sinia.

Mnatakiwa mjue kuwa kila jambo huletwa na Mungu kwa makusudi najua hata CCM wanajuta kwanini wamedanganya idadi kubwa kiasi hiki.

Nategemea viongozi wote wa majimbo watakuwa wanajiandaa na kampeni za kuhamasisha watu wajitokeze kwa wingi siku ya kupiga kura ambayo ni November 27.

Pamoja na mapungufu yaliyojitokeza kwenye zoezi la uandikishaji haitakiwi kuendelea kulalamika. Sisi wapenzi wa mpira wa miguu refa akikubali goli la off side hatutoi timu uwanjani inaendelea na mchezo hadi dakika ya 90.

CCM haitatoka madarakani kwa maandamano bali kwa kura nyingi, yes, leo watafanikiwa kuiba lkn kuna siku hata wizi wao utashindikana mkijitokeza wengi kupiga kura
hakuna anaewaskiza chadema waliofikisika hoja na mipango tena, waliobaki na ulevi na mihemko tu..

chadema haiaminiki wala haikubaliki kwenye jamii. wanapitia ukata mkubwa ambao hakuna wanachoweza kufanya kuudhoofisha ushindi wa kishindo wa CCM, chama ambacho ndicho pekee wafuasi na wanachama wake wamejiandikisha kwa wingi mno katika mamilioni yao 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Ukitoa timu uwanjani timu pinzani inapwewa point 3 na huwezi kuzidai popote.
Hata team ikibaki uwanjani wanapata point 3, na ukiweka wazi ushahidi wa hujuma wanasema unalalamika maana hukubali kushindwa! Inshort kitendo cha kuendelea kushiriki wakati wanakuja na matokeo mfukoni, ni matumizi mabaya ya raslimali muda na fedha.
 
Back
Top Bottom