Ktk account yake ya X, lema amewataka Watanzania kuchangia fedha chadema na kuweka account.
My take.
Walisema mbowe hakuandaa vianzio vya mapato na kufanya chama omba omba
Leo hii mwezi tu chama kitandika bakuli la omba omba.
Lissu kaanza kufeli mapema, omba omba imekuwa kubwa
My take.
Walisema mbowe hakuandaa vianzio vya mapato na kufanya chama omba omba
Leo hii mwezi tu chama kitandika bakuli la omba omba.
Lissu kaanza kufeli mapema, omba omba imekuwa kubwa