Duh aiseee
Lissu kasema yeye ccm anawaweza sio kama mbowe. Aoneshe makucha sio kila siku kuhutubia ktk screen tu..CCM wanachotewa 3.2 BILLION kila mwezi na Msajili wa vyama kama ruzuku.
..Juzi nimeona CCM wameita mabilionea wa Kiasia kuchangia jengo la chama Singida mjini.
Za gari zimeishia wapiWatu wa kuchangia ni wengi sana kila mwezi wakichanga watu million moja mara elfu moja inapatikana billion 1 na sasa tunauhakika na uongozi uliopi utatumia pesa vizuri
Changia wewe punguza maneno yasiyo na msingi π πWatu wa kuchangia ni wengi sana kila mwezi wakichanga watu million moja mara elfu moja inapatikana billion 1 na sasa tunauhakika na uongozi uliopi utatumia pesa vizuri
Lissu kasema yeye ccm anawaweza sio kama mbowe. Aoneshe makucha sio kila siku kuhutubia ktk screen tu