Chadema wabunge kuji-lockdown bila wapiga kura ni kukimbia vita na usaliti, hawafai

Chadema wabunge kuji-lockdown bila wapiga kura ni kukimbia vita na usaliti, hawafai

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Kwenye Vita viongozi hutakiwa kuwa mstari wa mbele kupigana bega kwa bega wakishiriana na wapiga kura

Wabunge wa chadema kwa hofu ya corona walikimbia wakaitelekeza kwa wapiga kura wao eti wanaogopa kufa kwa corona

Wakaacha wapiga kura wao ambao hata hela ya barakoa hawana waendelee kupambana na hali yao.Kana kwamba corona inachagua inawawinda Wabunge wa chadema tu na sio wanachama wao

Kama waliona corona tishio wangwaambia wanachama wao pia wa just lock down.Lakini walivyo wabinafsi wakajilock down wao peke yao as if wao ndio special kuliko wanachama wao.Wangekuwa wanawajali wanachama wao wangeitisha lockdown ya wanachama wao nchi nzima.Lakini walijipendelea wao tu Kama vile wao ndio peker special Sana chadema!!!

Walichofanya Ni usaliti na kukimbia Vita na kutelekezea raia mpiga kura

Huwa wanajiita makamanda na huvaa manguo ya jeshi la mgambo na kuitana kamanda kamanda.Kamanda gani hukimbia Vita akiacha wapiga kura wake wapambane wenyewe.?

Chadema walikimbia Corona kwenda ku ji lockdown je wangekuwa wameshika nchi ikatokea vita si wangekimbilia nje ya nchi na kuacha wanachi wauawe na adui.?

October 2020 mpiga kura usikosee isiwape kura wabunge wa chadema Ni wabinafsi na wasio jali wanachama wangekuwa wanajali wanachama wangesema wanachama wote wa chadema mjilock down sababu huko Mitaani kwenu pia kuna waumwa corona na wafa kwa corona wengi tu kuwa salama mji lock down

Lakini wakasema ohh sijui bungeni Kuna mgonjwa na sijui Kuna wabunge wanahisiwa kufa kwa corona kwa hiyo tunajikinga!!! Kwani Mitaani hawapo waumwa corona na wafa kwa corona?
kwanini waji lockdown peke yao bila kushirisha wanachama wao? Na uzuri walitamka kupitia Mbowe kuwa Wana jilock down kuepuka maakbukizi bungeni !!! Kwa hiyo.mitaani kwa wapiga kura wao corona ilikuwa hamna? Wakati wao wenyewe ndio wapiga yowe la ohh Mitaani Hali mbaya ser
 
Naunga Mkono hoja, Chadema hawaaminiki tena ni vibaraka na matapeli wa kisiasa
 
Magu alijilock Chattle zaidi ya miezi miwili,alikuwa na watanzania huko?
 
Nyie wapuuzi mnajidanganya na kugeuza kila jambo ni siasa tu, mmarekani anawajali raia wake ameshatoa alert, DSM is not safe, na mkumbuke mmarekani ndio anaeleta watalii wengi zaidi Tz, sasa endeleeni na mawazo yenu ya kijinga muone mtakachovuna.

Kuficha kusema ukweli hakuna maana yoyote kwasababu werevu wameshajua hali halisi, endeleeni kueneza propaganda zenu muone mtakavyoangamiza raia wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ccm ambayo vyombo vyote vya kisheria vipo chini yake inalialia hivi, je ikiwa haina dola si ndo itazikwa kabisa! CCM bila dola ni wepesi zaidi za pamba, hata Chauma ina uhafadhali
 
Pitia vizuri hoja zilizofanya wajilockdown hiyo hoja ya wapigakura wao kutokujilockdown haihusian na na hoja za wabunge hao kujilockdown.
 
Kwenye Vita viongozi hutakiwa kuwa mstari wa mbele kupigana bega kwa bega wakishiriana na wapiga kura

Wabunge wa chadema kwa hofu ya corona walikimbia wakaitelekeza kwa wapiga kura wao eti wanaogopa kufa kwa corona

Wakaacha wapiga kura wao ambao hata hela ya barakoa hawana waendelee kupambana na hali yao.Kana kwamba corona inachagua inawawinda Wabunge wa chadema tu na sio wanachama wao

Kama waliona corona tishio wangwaambia wanachama wao pia wa just lock down.Lakini walivyo wabinafsi wakajilock down wao peke yao as if wao ndio special kuliko wanachama wao.Wangekuwa wanawajali wanachama wao wangeitisha lockdown ya wanachama wao nchi nzima.Lakini walijipendelea wao tu Kama vile wao ndio peker special Sana chadema!!!

Walichofanya Ni usaliti na kukimbia Vita na kutelekezea raia mpiga kura

Huwa wanajiita makamanda na huvaa manguo ya jeshi la mgambo na kuitana kamanda kamanda.Kamanda gani hukimbia Vita akiacha wapiga kura wake wapambane wenyewe.?

Chadema walikimbia Corona kwenda ku ji lockdown je wangekuwa wameshika nchi ikatokea vita si wangekimbilia nje ya nchi na kuacha wanachi wauawe na adui.?

October 2020 mpiga kura usikosee isiwape kura wabunge wa chadema Ni wabinafsi na wasio jali wanachama wangekuwa wanajali wanachama wangesema wanachama wote wa chadema mjilock down sababu huko Mitaani kwenu pia kuna waumwa corona na wafa kwa corona wengi tu kuwa salama mji lock down

Lakini wakasema ohh sijui bungeni Kuna mgonjwa na sijui Kuna wabunge wanahisiwa kufa kwa corona kwa hiyo tunajikinga!!! Kwani Mitaani hawapo waumwa corona na wafa kwa corona?
kwanini waji lockdown peke yao bila kushirisha wanachama wao? Na uzuri walitamka kupitia Mbowe kuwa Wana jilock down kuepuka maakbukizi bungeni !!! Kwa hiyo.mitaani kwa wapiga kura wao corona ilikuwa hamna? Wakati wao wenyewe ndio wapiga yowe la ohh Mitaani Hali mbaya ser
Mkuu, huoni aibu haya majitu unayoandika kila kukicha? Wewe ndo mjanja kuliko Watanzania wote? Uko nchi gani?
Huku mitaani wote waliokaa karibu na mgonjwa,walisakwa wakawekwa karantini. Hilo nalo hukuliona? Au hao walikuwa Ccm peke yao? Hao viongozi wa Chadema ndo ulitaka wawe Wizara ya Afya?
 
Back
Top Bottom