CHADEMA waende Mahakamani kudai viti vyao 19 vya Ubunge wa akina mama!

CHADEMA waende Mahakamani kudai viti vyao 19 vya Ubunge wa akina mama!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nashauri tu kwa sababu Watanzania hatutabarikiwa na Mungu kama chombo chetu kitukufu cha Bunge kinanajisiwa mchana kweupe.

Ninayasema haya baada ya jana kuwasikiliza wanasheria nguli akina Chris Maina, Jaji Warioba, Prof Shivji nk nk katika uzinduzi wa kitabu cha Jaji mkuu mstaafu Barnabas Samatta.

Wanasheria hao kwa pamoja wanakubaliana hakuna aliye juu ya sheria.

Je, ni nani aliyewapa ubunge akina Halima Mdee na wenzake?

Ukinizingua Nitakuzingua!
 
Nashauri tu kwa sababu Watanzania hatutabarikiwa na Mungu kama chombo chetu kitukufu cha Bunge kinanajisiwa mchana kweupe.

Ninayasema haya baada ya jana kuwasikiliza wanasheria nguli akina Chris Maina, Jaji Warioba, Prof Shivji nk nk katika uzinduzi wa kitabu cha Jaji mkuu mstaafu Barnabas Samatta.

Wanasheria hao kwa pamoja wanakubaliana hakuna aliye juu ya sheria.

Je, ni nani aliyewapa ubunge akina Halima Mdee na wenzake?

Ukinizingua Nitakuzingua!
Siku zote JPM alipokuwa anakiuka katiba na sheria walikuwa wapi wote hawa?
 
Back
Top Bottom