Elections 2010 CHADEMA wafunika kanda ya magharibi: Kampeni za Zitto katika picha usipime

Tanda ni wapi, DSM chadema wanakampeni kila siku (muulize Mnyika).....Lindi, Mtwara na Zanzibar nako kutafikiwa tu karibuni. Kila kitu ni kinaenda kwa ratiba ya kampeni.

I mean Tanga
 
Zitto -- hiyo redbull ni ya nini sasa teh teh teh
Nyerere - hii nimeikuta hapa, hata sijui ni ya nani....

 
kibunango umewaona kina mama hao walivyonafuraha?

 
Mwafrika, asante, nimekuelewa na kukukubali, thanks for Zitto pix update.
 
Hapa Zitto yuko movenpick kwenye debate ya wagombea ubunge vijana (kama sikosei) .... namuona Mnyika akiwa katulia tuli:

 
kwenye kampeni za Mnyika Ubungo, nani alisema chadema hawako Pwani?

 
wauwaji wa mwanzo ni mwafrika wa kike na vijana wenziwe

wajuvi sana hawa na hicho ndio kifo chao kilipo
 
Hapa ni Ntwara ... vincent Augustino upoooo:

 
Makamba akimuona huyo polisi hapo kwenye hii picha, ataagiza afukuzwe kazi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…