CHADEMA waibua ufisadi kwenye tozo za mafuta ya petrol, diesel & kerosene. Bei badala ya kushuka ndiyo imepanda

[emoji23][emoji23][emoji23]Chadema ipi iliyoibua ufisadi?
 
Tatizo la machadema huwa mavichwa yao yamejaa makamasi na mavi..

Serikali ilisema ime adjust viwango vya tozo mbalimbali hivyo kupeleka unafuu wa ongezeni la bei kwa wastani ambao mtoa mada umesema.

Walisema kama wasingefanya adjustment bei ingeongeseka kwa wastani wa sh.145 au zaidi kwa Lita sasa imeongeza kwa sh.12 kwa Lita ..

Sijui wewe mjinga ufisadi ulioibuliwa ni upi..Na ulivyo mpumbavu unatakiwa kujua kwamba hakuna tozo inaweza futwa hapo mpaka warudishe Bungeni ndio maana Rais alisema kama kuna sheria zinazitakiwa kufutwa wapeleke mswaada mwezi wa tisa Ili baadhi ya tozo zifutwe kabisa na bei ya mafuta ishuke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…