johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
ππVery soon utadharaulika, mtu akiona uzi wako ana skip maana anajua hamna kitu ni ujinga tu! Naanza mimi!
Tundu Lisu amesema yeye ndio alisema bila Mbowe kutolewa Jela hawezi kurudi nchiniHv kumbe na ww una akili sawa na matanga wa Lumumba??
Waombe msaada au "misada" na mikusu?Wawaache tu.CCM wanawapenda sana hao covid 19.Ikibidi waongezwe mitano tena!Hakuna ubishi tena kuwa Kikosi Kazi cha Profesa Mkandala na Zitto Kabwe ndio kimepelekea Mbowe kutolewa Jela na Mikutano ya hadhara kuruhusiwa
Wote tulimsikia Zitto Kabwe akimuombea msamaha Mbowe kwa Rais Samia Kwenye kikao cha Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla mbele ya Viongozi wakuu wote wa Vyama vya Siasa
Maridhiano ya Chadema na CCM ni kuhusiana na hawa akina Halima Mdee na wenzake kuingia Bungeni kinyemela ndio nawashauri wawaombe akina Zitto Kabwe wawasaidie hasa mwanasheria wa kimataifa mh Othman Masoud
"Ni Yeye" keshavuta mafao kasepa, nchi ngumu hii!
Hivi hii issue iko hivi? Dah kweli mjini njoo na akili tu"Ni Yeye" keshavuta mafao kasepa
Mjini shuleHivi hii issue iko hivi? Dah kweli mjini njoo na akili tu
Na mitoo plus mapinigesi ππWaombe msaada au "misada" na mikusu?Wawaache tu.CCM wanawapenda sana hao covid 19.Ikibidi waongezwe mitano tena!
Wapewe na matangadasi kutoka Kitayawa.Na mitoo plus mapinigesi ππ