Pre GE2025 CHADEMA wakataa ulinzi wa Polisi, wasema hawataki kulindwa

Pre GE2025 CHADEMA wakataa ulinzi wa Polisi, wasema hawataki kulindwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Baadhi ya Wanachama wa CHADEMA wahoji ulinzi wa Polisi kwenye Mkutano wao wa Uchaguzi huu ikiwa hawajawahi kufanya hivyo kwenye chaguzi zao zilizopita.
 
Chadema bhana 😂

Anyway, tupate salamu kutoka kwa mwenyekiti king'ang'anizi

 
Hata hamjui mnachokitaka nyinyi sasa huyo mwenyekiti mtachagua mnaemtaka kweli...?
 
Back
Top Bottom