Wakati mwingine wanachama wenzetu ni wapuuzi.
Kwenye mkusanyiko mkubwa hivyo ulinzi lazima uimarishwe kwasababu jambo lolote linaweza kutokea.
Sio kila aliyehudhuria hapo ana nia njema
Na ww mtoa mada kusema CDM wamekataa umepata wapi hilo tamko la chama?