Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
labda umetumwa na Mwanakijiji ili umlinde na tabia yake ya kutumia majina mengi kama yalivyotajwa humu.
KM
Chinga aliwahi kusema kuwa wewe ni mwanasiasa na unasoma mji wa UK, ulikatusha sana kipindi hicho unatumia Mwanasiasa na ukasema kuwa nani kasema unasoma UK, lakini baadaye imejulikana ni kweli.
Senti50 kasema mimi na maslahi binafsi toka kwa JK na kuna sehemu kasema kuwa Mswahili ni godoro la JK na jana kasema mimi ni Chinga, Mtalii na Mswahili,nilitegemea na hili uwafahamishe Ma moderators au kwa vile sisi wengine hatuchangii Chadema?
mie sijaona tusi ulilotukanwa na Chinga labda umetumwa na Mwanakijiji ili umlinde na tabia yake ya kutumia majina mengi kama yalivyotajwa humu.
Asha Abdallah kasema Kubwajinga ni Chinga na Mugongo hilo hujalitolea maelekezo.
Nashindwa kukusoma unaposema kuwa Mwanakijiji sio Mwafrika wa kike jee wewe ni moderator humu? au kwa vile ni mwanachadema unamsaidia.
wiki iliyopita kulikuja na habari ya wewe kukamatwa ililetwa na Brazameni akaja ES akasema kuwa huyo jamaa ni member mkubwa JF na anatumia jina maarufu sana, bwana Kitila hukujibu hoja hiyo lakini hili la Mwanakijiji limekuuma sana.
mimi nilifungiwa for the whole week last week kwa kujibizana na senti 50 lakini moderator hawakumfungia senti 50 na wewe hukuja kunitetea. leo hii Chinga kusema maneno kwa mwanakijiji ambayo si matusi kama anayotoa Senti 50 kwa rais wetu na RO na members wengine humu na kuna dada yuko Foreign anamtukana sana wewe umekaa kimya tena tunakutegemea kama Msomi na mwanaharakati.
Kwako wewe Mwanakijiji ni bora kuliko rais wetu.
Asante bwana mkubwa tumekusoma. umgekuwa na maana japo kumtetea Brazameni kwa kuonesha mapenzi kwako. kumbe kwako kuwa Mwanachadema ni bora zaidi.
Kitila Mkumbo hili halioni akitajwa Mwanakijiji hapo anatakuja juu kama kafumania.
Hata uki influence nifungiwe sio tatizo mie kukosa kutizama mpira ni ugonjwa lakini JF ni website kama website nyingine.
sidhani kama ni busara kuwabinya baadhi ya members kwa vile ni members wa kawaida humu, JF ni ukumbi wa wote lakini ukiwa wasemaji wakubwa ndio nyinyi utakuwa udikteta wa ajabu nadhani unayo website yako huko ungefanya utakavyo, lakini kuja hapa JF kututisha sisi vidagaa ni uonevu mkubwa wetu.
Kubwa Jinga
Mi si mtaalamu wa kuweka hizo links, kwa hiyo ambayo imekataa kufungua-nilidhamiria kuweka links ya kwenye thread hii- http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=12123 eneo ambalo nilianza kukuuliza maswali ambayo mpaka sasa hujanijibu. Hebu ingia kwanza huko ujibu maswali yangu.
Kubwa Jinga
Kuhusiana na majibu ya Zitto na Mnyika kuhusu Viti Maalumu sijaweka link yoyote, nimekwambia ufanye searching. Lakini kama hujui pia, hebu mwambie Game Theory aweke hapa link za thread zote ambazo Zitto na Mnyika wamezungumzia suala la Viti Maalum kuanzia kwenye Mbowe Vs Chifupa, The only thing to fear, Focus 2010, CHADEMA Must reform na nyingine nyingi tu. Mi niliwahi kufanyiwa searching hapa nikaona kuwa suala hili Zitto na Mnyika wamelitolea maelezo hapa vizuri kabisa mwaka 2006, 2007 na hata 2008 mpaka wanachama wengine humu wakaridhika
Nijibu pia jamani, nimeuliza swali kama uliwahi kufukuzwa CUF kutokana na tabia yako ya kuwabagua watu kutokana na dini na makabila yao.
Asha
that is what i thought.. madai utoe wewe halafu kulia ulie wewe, ati "vidagaa"! Hujatishwa na mtu yeyote umeambiwa utoe ushahidi wa madai yako au uelezee maneno yako umebakia kulia lia; kwanini usiende kwenye klabu wa "ninaonewanamwanakijiji.com"?[/QUOTE]
...that's funny...
that is it.. sina jingine la kusema. Let the record show that they failed to offer any shred of evidence of their allegations against me.
M. M.
Wakuu,
Hii ni JF niliyoizoea kama hakuna jambo la maana linaloendelea. Simba akikosa nyama hula majani, JF wakikosa wa kumlima NYANI GILADI, wanaanza kulana wenyewe kwa wenyewe kwi kwi kwi!!!!!!
Wanaanza na vifaranga, vikiisha wanaanza kujeruhiana wenyewe kwa wenyewe.
Mimi hapa yangu ni macho tu na popcorns zangu ambazo zimejaa bakuri!
Sana tunatishwa ili manyampara waendelee kutesa. mie si mtu wa siasa na wala sijawahi kuishupalia Chadema lakini nimevamiwa na kuwa subject na Nyapara wa JF. hawajapewa nchi tayari madikteta.Asante ndugu Mtanzania, kumbe ndio ilivyo, ni vizuri kujua.
Asante kwakuliona hili.Wakuu,
Hii ni JF niliyoizoea kama hakuna jambo la maana linaloendelea. Simba akikosa nyama hula majani, JF wakikosa wa kumlima NYANI GILADI, wanaanza kulana wenyewe kwa wenyewe kwi kwi kwi!!!!!!
Wanaanza na vifaranga, vikiisha wanaanza kujeruhiana wenyewe kwa wenyewe.
Mimi hapa yangu ni macho tu na popcorns zangu ambazo zimejaa bakuri!
Sana tunatishwa ili manyampara waendelee kutesa. mie si mtu wa siasa na wala sijawahi kuishupalia Chadema lakini nimevamiwa na kuwa subject na Nyapara wa JF. hawajapewa nchi tayari madikteta.
Sana tunatishwa ili manyampara waendelee kutesa. mie si mtu wa siasa na wala sijawahi kuishupalia Chadema lakini nimevamiwa na kuwa subject na Nyapara wa JF. hawajapewa nchi tayari madikteta.
umenishupalia mimi kwa kunitaja taja bila sababu ya msingi ilimradi upate nafasi ya kuja kulia unaonewa ati na wewe ni "vidagaa"..huwezi moto, kwanini unauchezea?
Siwezi kubishana na wewe, mwenzetu una uwezo wa kumfungia mwanachama na kufuta mchango wake,
kama ulivyosema si uwezo moto huu ambao refarii yuko upande wa bi senti 50 ambaye tumeambiwa ni wewe.
Ilisemwa hapa hapa Jf jana pitia vizuri thread hizi kuwa ni wewe senti 50 na ukaongezwa na Mwafrika wa Kike yote majina haya ya kike ili michango yako ionekana inatoka kwa wanawake.
Kitila nae akasemwa anatumia Asha.