Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Maaamuzi ya taasisi yatafanyika kulingana nyakati, ccm kama mnajizungusha ili ikifika mda chadema wasusie uchaguzi ili mje na mapandikizi yenu kutoka kwenye vyama vya mfukoni , jipangeni tena,Salama ya CHadema nikususia uchaguzi zaidi ya kushiriki. Wawaache wale ambao wana tamaa ya ubunge waende ACT au CHAUMa kuliko kushiriki uchaguzi unaosimamiwa na Makada wa CCM. Wasipoweka msimamo wanakwenda kuchakachuliwa vyakutosha na kisha kupelekwa kwenye meza ya maridhiano
Anaye enda kukandwa ni weweWatie nguvu katika upatikanaji wa tume huru, lasivyo watakandwa vibaya.
Kwa nini usiseme tu wazi hapa kuwa unawafanyia CCM kampeni ya kuendelea kutawala milele; kuliko kusumbua akili za watu na mada ya ajabu sana kama hii?Salama ya CHADEMA nikususia uchaguzi zaidi ya kushiriki. Wawaache wale ambao wana tamaa ya ubunge waende ACT au CHAUMa kuliko kushiriki uchaguzi unaosimamiwa na Makada wa CCM.
Wasipoweka msimamo wanakwenda kuchakachuliwa vyakutosha na kisha kupelekwa kwenye meza ya maridhiano