CHADEMA walipaswa kususia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuanzia hatua ya mwanzo kabisa

CHADEMA walipaswa kususia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuanzia hatua ya mwanzo kabisa

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Vijana na wazee wa CCM hawana aibu, hawajawahi kuwa na aibu na hawatakuwa na aibu. Msipoangalia wagombea wa CHADEMA ambao hawajaenguliwa baadhi watauliwa na wengine kupewa ulemavu wa kudumu.

Hebu muiache CCM itawale wa uhuru. Pelekeni maombi kwa msajili wa vyama vya siasa akifute CHADEMA labda CCM wakikosa upinzani watafocus kwenye maendeleo.

Kuna shughuli nyingi za kufanya nje ya siasa. Kila mwananchi ana familia yake, awajibike kwaajili yake na familia yake. Nyie viongozi wa upinzani ngazi za juu mna ulinzi, vipi viongozi wa matawi na kata?
 
Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
IMG-20200726-WA0000.jpg

20240907_095744 (1).jpg




 
Waliposisua 2019 and 2020 ilitokea nini? (naomba jibu). Sema Chaema wawe na Imkhonto Wesizwe wingi! short of that CCM wameshaapa kutoachia madaraka kwa demokrasia, kwa utash wa watanzania/watanganyika, if force is not used this is to remain as long as watanzania tu wafu/MAITI as put by Kenyatta!

 
Waliposisua 2019 and 2020 ilitokea nini? (naomba jibu)
Sema Chaema wawe na Imkhonto Wesizwe wingi! short of that CCM wameshaapa kutoachia madaraka kwa demokrasia, kwa utash wa watanzania/watanganyika, if force is not used this is to remain as long as watanzania tu wafu/MAITI as put by Kenyatta!
 

Attachments

  • IMG_3824.jpeg
    IMG_3824.jpeg
    50.6 KB · Views: 2
Nilidhani Magufuli alikufa na maujinga yake kumbe aliwaachia ccm urithi wa kipumbavu.. Hiki kinacho fanywa na wasimamizi wasaidizi ni ushenzi, upumbavu, haileti mantiki kwa taifa. Tu a takiwa kulaaniwa na kila mwenye kuitakia Taifa mema. Halafu Rais amekaa kimya.
 
Back
Top Bottom