Waliposisua 2019 and 2020 ilitokea nini? (naomba jibu)
Sema Chaema wawe na Imkhonto Wesizwe wingi! short of that CCM wameshaapa kutoachia madaraka kwa demokrasia, kwa utash wa watanzania/watanganyika, if force is not used this is to remain as long as watanzania tu wafu/MAITI as put by Kenyatta!