Pre GE2025 CHADEMA walipaswa wawe wameshaanza mchakato wa kumpata Mgombea Urais

Pre GE2025 CHADEMA walipaswa wawe wameshaanza mchakato wa kumpata Mgombea Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Benson Mramba

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2013
Posts
648
Reaction score
1,485
Binafsi naamini kampeni zinapaswa kuanzwa mapema kwa jambo lolote lile kama nia ni kushinda.

CCM wameshateua mgombea Urais tayari japo sijui kama sheria ya uchaguzi inawaruhusu kafanya hivyo kabla ya ratiba na tangazo la uchaguzi kutoka tume.

Chadema mpaka sasa haijulikani mgombea ni nani wakati CCM wameshaanza kampeni kwa msingi wa utambulisho. Ni vema chadema nao wakaanza mchakato wa uchaguzi ili kunogesha uchaguzi wa mwaka.

Kwa maoni yangu CHADEMA wafuate mfumo wa primaries kama wa Wamarekani ili pachangamke
 
Hata ushuzi ujulikani unapotokea.
Sio kinyesi kinapotokea mfano kama hapa.

IMG_0612.jpeg
 
Binafsi naamini kampeni zinapaswa kuanzwa mapema kwa jambo lolote lile kama nia ni kushinda.

CCM wameshateua mgombea Urais tayari japo sijui kama sheria ya uchaguzi inawaruhusu kafanya hivyo kabla ya ratiba na tangazo la uchaguzi kutoka tume.

Chadema mpaka sasa haijulikani mgombea ni nani wakati CCM wameshaanza kampeni kwa msingi wa utambulisho. Ni vema chadema nao wakaanza mchakato wa uchaguzi ili kunogesha uchaguzi wa mwaka.

Kwa maoni yangu Chadema wafuate mfumo wa primaries kama wa Wamarekani ili pachangamke
Kwani reform tayari?
 
Back
Top Bottom