Pre GE2025 CHADEMA wameanza kutumia vyombo vya habari vizuri kuliko huko nyuma

Pre GE2025 CHADEMA wameanza kutumia vyombo vya habari vizuri kuliko huko nyuma

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Chadema polepole wameanza kutumia Media vizuri zaidi. Tofauti na CCM ambayo viongozi wao wamejiweka kama vigogo wenzao Chadema wamejiweka kama watu wa kawaida. Huwezi kumsema mtu ni wa fujo wakati unaenda kula naye Ugali tena nyumbani kwakwe.

Viongozi wa Chadema wamejitahidi sana kuonekana ni watu wa kawaida. Kikwete ndiye pekee wa CCM aliweza hili lakini viongozi wengine wa CCM wamejificha ficha watu hawajui family zao mfano hakuna mtu anajua familia ya Mchimbi, Kinana na hata Samia vizuri .

Lissu , Heche , Mnyika, Lema ni rahisi kuwapata kuliko viongozi wa CCM wa juu . Kwa utamaduni wetu hatuamini watu ambao hatuwafahamu.

Huwezi kusubiriwa kuongelewa na makada kila siku kwa wakati huu wa Media hizi ni lazima viongozi waji changanye na wawe wawazi.

Pili Chadema hawajafanya ziara hata mmoja lakini ujumbe wao ndiyo unaongelewa na sio agenda za CCM. Kwa sasa mfano wamegundua Wasira hakuna watu wanamchukulia kwa maanani kabisa.

Nchimbi na Samia wamejiweka juu sana kuliko watu. Ziara ya Mama Samia huko Tanga ni zile za kusomba watu waende kumwangalia lakini kwenye siasa watu wanaongelea Chadema na sera zake.

Tatu ni kuhusu chaguzi huru. Hakuna hata mtu mmoja ameweza kutetea kwamba chaguzi za 2019, 2020 na 2024 zilikuwa na huru na haki kwasababu sio kweli. Media sasa wamepewa data na Lissu ambazo hazipingiki na hata CCM wameahidwa kujibu tofauti na data za Lissu.

Chadema wamewapa data Media yetu ambayo imejaa vijana ambao walikuwa wanalishwa maneno. Sasa wameanza kulishwa data za ukweli kiasi kwamba wakienda kwenye vipindi wanajadili data. Media za sasa ni online zaidi huwezi kuzizuia kama zamani.

Kwa mawazo yangu serikali na hata CCM wekeni sheria nzuri za chaguzi huru. Hata Chadema kwa sasa hawajasema katiba yote ibadilishwe bali wanasema sheria za uchaguzi zibadilishwe bila hizi huko mbele sio kuzuri.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa:
Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Ukweli ni kwamba Watanzania zaidi ya 50% wana amini chaguzi tatu zilizopita hazikuwa na huru na haki na moja ya 2024 ni chini ya Mama Samia!

Mama Samia akilazimisha chaguzi kwa mazingira haya hata pata heshima ambayo anayo sasa. Ataonekana Raisi fake na dikteta wa kwanza mwanamke sijui kama anataka hivyo. Inawezekana kabisa atawekewa vikwazo.
 
Kweli kabisa.
Vitakuja Hapa vi vushiti vya ccm na vi dera vyao utasikia " uchaguzi upo palepale" hakuna kibaka wa kuzuiya uchaguzi"
No reform no elections. Twende Lisu twende
 
Huwa natamani sana mijadala kati ya CCM na Chadema ila kuna uoga fulani hivi huwa wanakimbia
 
Jamii ambayo wapiga kura 60% plus ni genz unaenda leta kiongozi wa chama in his 80's, its irrelevant kimantiki.
 
CCM hata mdahalo na CHADEMA wanaingia mitini wanaenda kukaa nyuma ya Polisi.
 
Chadema polepole wameanza kutumia Media vizuri zaidi. Tofauti na CCM ambayo viongozi wao wamejiweka kama vigogo wenzao Chadema wamejiweka kama watu wa kawaida. Huwezi kumsema mtu ni wa fujo wakati unaenda kula naye Ugali tena nyumbani kwakwe.

Viongozi wa Chadema wamejitahidi sana kuonekana ni watu wa kawaida. Kikwete ndiye pekee wa CCM aliweza hili lakini viongozi wengine wa CCM wamejificha ficha watu hawajui family zao mfano hakuna mtu anajua familia ya Mchimbi, Kinana na hata Samia vizuri .

Lissu , Heche , Mnyika, Lema ni rahisi kuwapata kuliko viongozi wa CCM wa juu . Kwa utamaduni wetu hatuamini watu ambao hatuwafahamu.

Huwezi kusubiriwa kuongelewa na makada kila siku kwa wakati huu wa Media hizi ni lazima viongozi waji changanye na wawe wawazi.

Pili Chadema hawajafanya ziara hata mmoja lakini ujumbe wao ndiyo unaongelewa na sio agenda za CCM. Kwa sasa mfano wamegundua Wasira hakuna watu wanamchukulia kwa maanani kabisa.

Nchimbi na Samia wamejiweka juu sana kuliko watu. Ziara ya Mama Samia huko Tanga ni zile za kusomba watu waende kumwangalia lakini kwenye siasa watu wanaongelea Chadema na sera zake.

Tatu ni kuhusu chaguzi huru. Hakuna hata mtu mmoja ameweza kutetea kwamba chaguzi za 2019, 2020 na 2024 zilikuwa na huru na haki kwasababu sio kweli. Media sasa wamepewa data na Lissu ambazo hazipingiki na hata CCM wameahidwa kujibu tofauti na data za Lissu.

Chadema wamewapa data Media yetu ambayo imejaa vijana ambao walikuwa wanalishwa maneno. Sasa wameanza kulishwa data za ukweli kiasi kwamba wakienda kwenye vipindi wanajadili data. Media za sasa ni online zaidi huwezi kuzizuia kama zamani.

Kwa mawazo yangu serikali na hata CCM wekeni sheria nzuri za chaguzi huru. Hata Chadema kwa sasa hawajasema katiba yote ibadilishwe bali wanasema sheria za uchaguzi zibadilishwe bila hizi huko mbele sio kuzuri.

Ukweli ni kwamba Watanzania zaidi ya 50% wana amini chaguzi tatu zilizopita hazikuwa na huru na haki na moja ya 2024 ni chini ya Mama Samia!

Mama Samia akilazimisha chaguzi kwa mazingira haya hata pata heshima ambayo anayo sasa. Ataonekana Raisi fake na dikteta wa kwanza mwanamke sijui kama anataka hivyo. Inawezekana kabisa atawekewa vikwazo.
Hivi hizi congratulations zenu mnafikia kwa wananchi wa wapi? Maana huku nilipo hata hawamjui LISU ni nani..Wala chadema ni nini!!
Huku ni full kilimo na ukame wa mwaka huu
 
Chadema polepole wameanza kutumia Media vizuri zaidi. Tofauti na CCM ambayo viongozi wao wamejiweka kama vigogo wenzao Chadema wamejiweka kama watu wa kawaida. Huwezi kumsema mtu ni wa fujo wakati unaenda kula naye Ugali tena nyumbani kwakwe.

Viongozi wa Chadema wamejitahidi sana kuonekana ni watu wa kawaida. Kikwete ndiye pekee wa CCM aliweza hili lakini viongozi wengine wa CCM wamejificha ficha watu hawajui family zao mfano hakuna mtu anajua familia ya Mchimbi, Kinana na hata Samia vizuri .

Lissu , Heche , Mnyika, Lema ni rahisi kuwapata kuliko viongozi wa CCM wa juu . Kwa utamaduni wetu hatuamini watu ambao hatuwafahamu.

Huwezi kusubiriwa kuongelewa na makada kila siku kwa wakati huu wa Media hizi ni lazima viongozi waji changanye na wawe wawazi.

Pili Chadema hawajafanya ziara hata mmoja lakini ujumbe wao ndiyo unaongelewa na sio agenda za CCM. Kwa sasa mfano wamegundua Wasira hakuna watu wanamchukulia kwa maanani kabisa.

Nchimbi na Samia wamejiweka juu sana kuliko watu. Ziara ya Mama Samia huko Tanga ni zile za kusomba watu waende kumwangalia lakini kwenye siasa watu wanaongelea Chadema na sera zake.

Tatu ni kuhusu chaguzi huru. Hakuna hata mtu mmoja ameweza kutetea kwamba chaguzi za 2019, 2020 na 2024 zilikuwa na huru na haki kwasababu sio kweli. Media sasa wamepewa data na Lissu ambazo hazipingiki na hata CCM wameahidwa kujibu tofauti na data za Lissu.

Chadema wamewapa data Media yetu ambayo imejaa vijana ambao walikuwa wanalishwa maneno. Sasa wameanza kulishwa data za ukweli kiasi kwamba wakienda kwenye vipindi wanajadili data. Media za sasa ni online zaidi huwezi kuzizuia kama zamani.

Kwa mawazo yangu serikali na hata CCM wekeni sheria nzuri za chaguzi huru. Hata Chadema kwa sasa hawajasema katiba yote ibadilishwe bali wanasema sheria za uchaguzi zibadilishwe bila hizi huko mbele sio kuzuri.

Ukweli ni kwamba Watanzania zaidi ya 50% wana amini chaguzi tatu zilizopita hazikuwa na huru na haki na moja ya 2024 ni chini ya Mama Samia!

Mama Samia akilazimisha chaguzi kwa mazingira haya hata pata heshima ambayo anayo sasa. Ataonekana Raisi fake na dikteta wa kwanza mwanamke sijui kama anataka hivyo. Inawezekana kabisa atawekewa vikwazo.
Uchambuzi ́’mzuri
 
Back
Top Bottom