Ndg zangu wana jf, msisahau kuwa idadi yetu pale mjengo itakuwa 46 au 47 kama tutashinda pale mpanda na nkenge, nadhani tunaendelea kutafuta uhalali kwa watanzania hawa walionyimwa elimu na uelewa wao uko chini sana + umaskini, nadhani ni vizuri kama wabunge wateule wa Chadema wataamua kufanya hivyo wajiulize what impact it will happem kwa wafuasi wao? Tusisahau ktwa Dr Slaa aliliona hilo na ndiyo maama akawa silance, unajua impact yake kwa umma? Dr amesoma mazingira ya mtanzania wa leo yuko tayari kwenda mtaani kutetea kura yake? Akagundua bado watz hawako tayari, kwenda mtaani, alichokifanya ni kuwa kimya sasa 2010- 2015 iomgezwe elimu kwa mpiga kula. Sasa swali la kujiuliza je kuna unalazima wa wabunge wateule wa Chadema kutoka nje wakati kikwete akihutubia? Je ina logic?