Pre GE2025 CHADEMA wamenywea, nimewaona Wamejaa kwenye coster wanarejea makwao Arusha wakipeperusha bendera kwenye hayo magari. Kweli shingo haipiti kichwa

Pre GE2025 CHADEMA wamenywea, nimewaona Wamejaa kwenye coster wanarejea makwao Arusha wakipeperusha bendera kwenye hayo magari. Kweli shingo haipiti kichwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ambagae

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2009
Posts
3,334
Reaction score
1,385
Yameonekana magari kadhaa aina ya coaster yakiwa yanapeperusha bendera za chadema yakielekea Arusha. Msemo wa wahenga Shingo haipiti kichwa umetimia.

Wajifunze kutii Sheria bila shuruti. Amani yetu Tanzania ni tunu tuliyobarikiwa tuilinde kwa kuwakabili vilivyo wanaotaka kuichafua.
 
Yameonekana magari kadhaa aina ya coaster yakiwa yanapeperusha bendera za chadema yakielekea Arusha. Msemo wa wahenga Shingo haipiti kichwa umetimia. Wajifunze kutii Sheria bila shuruti. Amani yetu Tanzania ni tunu tuliyobarikiwa tuilinde kwa kuwakabili vilivyo wanaotaka kuichafua.

Hawa ni Watanzania wanaotaka kufanya mikutano kujadili mambo ya taifa. Huu sio mpira wa Yanga na Simba. Kama unafikiri kuwa na sheria na Chama kimoja ina manufaa kwa nchi yetu basi unahitaji maombi. Kuwa makini sana na watu wenye mazoea na wasiotaka kubadilika maana kila siku dunia na watu wanabadilika. Kuwa makini wa kuona watu wengine ni wale hao maana hujui uta zeeka vipi na nani atakuwepo. Kuna wazee walikuwa makamishna Polisi leo hawana mafao ni watu bali kawaulize kama wangepewa leo madaraka wangeonea watu kama walivyofanya. Tatizo upeo ni mdogo. Demokrasia na haki sio Chadema ni swala la nchi. Hata hao wa Chadema ni Watanzania!
 
Yameonekana magari kadhaa aina ya coaster yakiwa yanapeperusha bendera za chadema yakielekea Arusha. Msemo wa wahenga Shingo haipiti kichwa umetimia. Wajifunze kutii Sheria bila shuruti. Amani yetu Tanzania ni tunu tuliyobarikiwa tuilinde kwa kuwakabili vilivyo wanaotaka kuichafua.
Piss artist.
 
Hata KANU ilikuwa ikifanya ubabe hivi hivi leo wako wapi?!😁
 
..katika hili Chadema wameshinda.

..zile 4R za Mama Samia zitaonekana ni utapeli.
 
Yameonekana magari kadhaa aina ya coaster yakiwa yanapeperusha bendera za chadema yakielekea Arusha. Msemo wa wahenga Shingo haipiti kichwa umetimia. Wajifunze kutii Sheria bila shuruti. Amani yetu Tanzania ni tunu tuliyobarikiwa tuilinde kwa kuwakabili vilivyo wanaotaka kuichafua.
Sheria ipi hiyo kwenye kifungu gani Cha katiba
 
Yameonekana magari kadhaa aina ya coaster yakiwa yanapeperusha bendera za chadema yakielekea Arusha. Msemo wa wahenga Shingo haipiti kichwa umetimia. Wajifunze kutii Sheria bila shuruti. Amani yetu Tanzania ni tunu tuliyobarikiwa tuilinde kwa kuwakabili vilivyo wanaotaka kuichafua.
Watawala acheni woga.
 
Yameonekana magari kadhaa aina ya coaster yakiwa yanapeperusha bendera za chadema yakielekea Arusha. Msemo wa wahenga Shingo haipiti kichwa umetimia. Wajifunze kutii Sheria bila shuruti. Amani yetu Tanzania ni tunu tuliyobarikiwa tuilinde kwa kuwakabili vilivyo wanaotaka kuichafua.
Hao walifaa warudishwe na malori ya magereza.
 
Generation Z wa kukodi hawa, wamepewa na posho, wale wa Kenya walikuwa wanafuata hoja, sio posho
 
nakumbuka jiwe alisema uraisi ni kazi ngumu. naanza kuamini

..Kuongoza Watanzania sio kazi ngumu.

..Kama Jiwe alikuwa analalamika, wakina Ruto, Ramaphosa, na Tinubu, watasemaje?
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Bila ya kuwatumia policcm kuwakamata viongozi wa chadema kwenye shughuli zao ccm ni wepesi sana kushindana na chadema.

Yote hayo kwemye ushindani mko 0 kabisa.
 
..Kuongoza Watanzania sio kazi ngumu.

..Kama Jiwe alikuwa analalamika, wakina Ruto, Ramaphosa, na Tinubu, watasemaje?
leo nimesikiliza radio, na nimeona comment yako kuhusu 4R. swali ni kwamba amri hii ya hili sekeseke ni ya mwenye 4R mwenyewe au watu wengine (kama ni ya watu wengine ndo wanapambana nae direct kwa kuihujumu 4R)

ndo nilipomkumbuka jiwe na kauli yake.

au mawazo kama yangu ndo yanasaidia viongozi wasipate tabu? maana watanzania ndo sisi
 
Yameonekana magari kadhaa aina ya coaster yakiwa yanapeperusha bendera za chadema yakielekea Arusha. Msemo wa wahenga Shingo haipiti kichwa umetimia.

Wajifunze kutii Sheria bila shuruti. Amani yetu Tanzania ni tunu tuliyobarikiwa tuilinde kwa kuwakabili vilivyo wanaotaka kuichafua.
We huu ujinga wako ni mkubwa sana.
 
Yameonekana magari kadhaa aina ya coaster yakiwa yanapeperusha bendera za chadema yakielekea Arusha. Msemo wa wahenga Shingo haipiti kichwa umetimia.

Wajifunze kutii Sheria bila shuruti. Amani yetu Tanzania ni tunu tuliyobarikiwa tuilinde kwa kuwakabili vilivyo wanaotaka kuichafua.
Unashangilia ujinga? Wazazi waki kule bushi wanaishi chini ya $1 kwa sababu ya CCM, wewe endelea kulamba watawala Mataku.
 
leo nimesikiliza radio, na nimeona comment yako kuhusu 4R. swali ni kwamba amri hii ya hili sekeseke ni ya mwenye 4R mwenyewe au watu wengine (kama ni ya watu wengine ndo wanapambana nae direct kwa kuihujumu 4R)

ndo nilipomkumbuka jiwe na kauli yake.

au mawazo kama yangu ndo yanasaidia viongozi wasipate tabu? maana watanzania ndo sisi

..swali lako limeibua mambo mengi sana kichwani kwangu.

..Kwa mtizamo wangu 4R ni maneno tu ambayo hayana utekelezaji wowote ule.

..Hakuna hujuma yoyote ile kwasababu hata Raisi mwenyewe hakuonyesha hatua za dhati kwamba amemaanisha tuwe na 4R.

..4R ilitakiwa zitanguliwe na uteuzi wa wasaidizi wanaoendana na falsafa hiyo. Kwa mfano, Raisi alipaswa ateue IGP, DCI, DPP, Msajili wa vyama, ...ambao rekodi zao zinatia imani kwamba watatekeleza 4R.

..Raisi alipoteua maofisa ambao walihusika na mambo ya hovyo ktk awamu ya Magufuli nilikata tamaa kwamba hana nia ya dhati na 4R.

..Ushahidi mwingine ni kuhusu sheria ya mabadiliko ya Tume ya Uchaguzi uliopitishwa na Bunge na kusainiwa na Raisi.

..Wadau walijitahidi kutoa maoni yenye tija. Kwa bahati mbaya sehemu kubwa ya maoni hayo imetupiliwa mbali. Matokeo yake yamefanyika mabadiliko ambayo sio ya msingi na hayajakidhi kiu ya wadau wa uchaguzi na demokrasia.

..Ningeweza kuendelea, lakini kwa uchache hicho ndicho kinachoendelea kuhusu 4R. Kwa kifupi ni ulaghai tu.

NB:

..Kuhusu mtafaruku uliotokea Mbeya inawezekana kabisa sio amri ya Raisi. Lakini Raisi lazima atakuwa amepewa taarifa za kinachoendelea. Na kwasababu amri hizo hazikubadilishwa, maana yake Raisi amebariki.
 
..swali lako limeibua mambo mengi sana kichwani kwangu.

..Kwa mtizamo wangu 4R ni maneno tu ambayo hayana utekelezaji wowote ule.

..Hakuna hujuma yoyote ile kwasababu hata Raisi mwenyewe hakuonyesha hatua za dhati kwamba amemaanisha tuwe na 4R.

..4R ilitakiwa zitanguliwe na uteuzi wa wasaidizi wanaoendana na falsafa hiyo. Kwa mfano, Raisi alipaswa ateue IGP, DCI, DPP, Msajili wa vyama, ...ambao rekodi zao zinatia imani kwamba watatekeleza 4R.

..Raisi alipoteua maofisa ambao walihusika na mambo ya hovyo ktk awamu ya Magufuli nilikata tamaa kwamba hana nia ya dhati na 4R.

..Ushahidi mwingine ni kuhusu sheria ya mabadiliko ya Tume ya Uchaguzi uliopitishwa na Bunge na kusainiwa na Raisi.

..Wadau walijitahidi kutoa maoni yenye tija. Kwa bahati mbaya sehemu kubwa ya maoni hayo imetupiliwa mbali. Matokeo yake yamefanyika mabadiliko ambayo sio ya msingi na hayajakidhi kiu ya wadau wa uchaguzi na demokrasia.

..Ningeweza kuendelea, lakini kwa uchache hicho ndicho kinachoendelea kuhusu 4R. Kwa kifupi ni ulaghai tu.

NB:

..Kuhusu mtafaruku uliotokea Mbeya inawezekana kabisa sio amri ya Raisi. Lakini Raisi lazima atakuwa amepewa taarifa za kinachoendelea. Na kwasababu amri hizo hazikubadilishwa, maana yake Raisi amebariki.
Naam mkuu, hata wewe umefafanua vyema, kimtaa mtaa hata kitendo cha kurudisha mawaziri waliotolewa na jiwe wengi tulisikitika. Achilia mbali kina Kingai.
ACha tuone itakuaje
 
Yameonekana magari kadhaa aina ya coaster yakiwa yanapeperusha bendera za chadema yakielekea Arusha. Msemo wa wahenga Shingo haipiti kichwa umetimia.

Wajifunze kutii Sheria bila shuruti. Amani yetu Tanzania ni tunu tuliyobarikiwa tuilinde kwa kuwakabili vilivyo wanaotaka kuichafua.
Akili iliyokosa weledi ni mzigo wa mavi kichwani.
 
Yameonekana magari kadhaa aina ya coaster yakiwa yanapeperusha bendera za chadema yakielekea Arusha. Msemo wa wahenga Shingo haipiti kichwa umetimia.

Wajifunze kutii Sheria bila shuruti. Amani yetu Tanzania ni tunu tuliyobarikiwa tuilinde kwa kuwakabili vilivyo wanaotaka kuichafua.
Kama hata picha Huna huu ni uzushi kama uzushi mwingine
 
Back
Top Bottom