TUNTEMEKE JF-Expert Member Joined Jun 15, 2009 Posts 4,587 Reaction score 580 Nov 8, 2010 #1 Nimesikia kwenye heading za magazeti ya kwamba chadema wamepata viti maalumu rasmi bungeni,nini kinamaanishwa hapa?kama kuna mdau anaelewa vizuri kuhusu hili basi atupe data.
Nimesikia kwenye heading za magazeti ya kwamba chadema wamepata viti maalumu rasmi bungeni,nini kinamaanishwa hapa?kama kuna mdau anaelewa vizuri kuhusu hili basi atupe data.