Hao watu sio wanachama wa CHADEMA tena sasa unataka wawajadili ili iweje?Nchi hii hakika ina vioja. Wabunge wametemwa na chama chao kwa kugushi na kujiteua viti maalum.
Ajabu mwaka wa tatu umeanza na kesi yao ndio kwanza mbichi serikali ndio mtetezi kwa bunge wanalomiliki kuwakingia kifua. Ni kitu cha ajabu sana. Watu wanakula mishahara na bosho huku hawana chama wanakiwakilisha. Hila zinapangwa wanaendelea tu na ubunge hadi watamaliza miaka mitano.
Wale wabunge ni feki kumbe? Kwa hiyo Magufuli alikuwa tapeli? Maana yeye ndio aliwaweka kwa kumtumia kibaraka wake NdugaiNchi hii hakika ina vioja. Wabunge wametemwa na chama chao kwa kugushi na kujiteua viti maalum.
Ajabu mwaka wa tatu umeanza na kesi yao ndio kwanza mbichi serikali ndio mtetezi kwa bunge wanalomiliki kuwakingia kifua. Ni kitu cha ajabu sana. Watu wanakula mishahara na bosho huku hawana chama wanakiwakilisha. Hila zinapangwa wanaendelea tu na ubunge hadi watamaliza miaka mitano.
Acha kujitoa ufahamu, hakuna asiyejua katika nchi hii, kwamba hao wabunge unao wahita feki sio wa CHADEMA bali ni wa mwendazakeNchi hii hakika ina vioja. Wabunge wametemwa na chama chao kwa kugushi na kujiteua viti maalum.
Ajabu mwaka wa tatu umeanza na kesi yao ndio kwanza mbichi serikali ndio mtetezi kwa bunge wanaolimiliki kuwakingia kifua. Ni kitu cha ajabu sana.
Watu wanakula mishahara na posho huku hawana chama wanakiwakilisha bungeni.
Hila zinapangwa wanaendelea tu na ubunge hadi watamaliza miaka mitano na kisha kulipwa kiinua mgongo mamilioni ya shilingi.
Unataka Chadema wafanye nini mkuu na watu ambao siyo wanachama wao? Hela inayochezewa na serikali hii dhalim kuwalipa hao vicheche ni kodi zetu wote.Nchi hii hakika ina vioja. Wabunge wametemwa na chama chao kwa kugushi na kujiteua viti maalum.
Ajabu mwaka wa tatu umeanza na kesi yao ndio kwanza mbichi serikali ndio mtetezi kwa bunge wanaolimiliki kuwakingia kifua. Ni kitu cha ajabu sana.
Watu wanakula mishahara na posho huku hawana chama wanakiwakilisha bungeni.
Hila zinapangwa wanaendelea tu na ubunge hadi watamaliza miaka mitano na kisha kulipwa kiinua mgongo mamilioni ya shilingi.
Umewakumbuka wewe inatosha.Nchi hii hakika ina vioja. Wabunge wametemwa na chama chao kwa kugushi na kujiteua viti maalum.
Ajabu mwaka wa tatu umeanza na kesi yao ndio kwanza mbichi serikali ndio mtetezi kwa bunge wanaolimiliki kuwakingia kifua. Ni kitu cha ajabu sana.
Watu wanakula mishahara na posho huku hawana chama wanakiwakilisha bungeni.
Hila zinapangwa wanaendelea tu na ubunge hadi watamaliza miaka mitano na kisha kulipwa kiinua mgongo mamilioni ya shilingi.
Suala la ubunge wao lipo mahakamani, sasa CDM wafanye nini hapo!Nchi hii hakika ina vioja. Wabunge wametemwa na chama chao kwa kugushi na kujiteua viti maalum.
Ajabu mwaka wa tatu umeanza na kesi yao ndio kwanza mbichi serikali ndio mtetezi kwa bunge wanaolimiliki kuwakingia kifua. Ni kitu cha ajabu sana.
Watu wanakula mishahara na posho huku hawana chama wanakiwakilisha bungeni.
Hila zinapangwa wanaendelea tu na ubunge hadi watamaliza miaka mitano na kisha kulipwa kiinua mgongo mamilioni ya shilingi.
Kwani chama cha siasa c hua kinadili na wabunge wake au wanachama wake? Wale ilitolewa Official statement ya kuwavua uanachama, je unataka CDM iwajibike kwa muktadha upi?Nchi hii hakika ina vioja. Wabunge wametemwa na chama chao kwa kugushi na kujiteua viti maalum.
Ajabu mwaka wa tatu umeanza na kesi yao ndio kwanza mbichi serikali ndio mtetezi kwa bunge wanaolimiliki kuwakingia kifua. Ni kitu cha ajabu sana.
Watu wanakula mishahara na posho huku hawana chama wanakiwakilisha bungeni.
Hila zinapangwa wanaendelea tu na ubunge hadi watamaliza miaka mitano na kisha kulipwa kiinua mgongo mamilioni ya shilingi.
Mahakama ilipanga tarehe ya kesi kuendelea baada ya kuwa na likizo hivyo Chadema hawawezi kuendeleza kesi.Nchi hii hakika ina vioja. Wabunge wametemwa na chama chao kwa kugushi na kujiteua viti maalum.
Ajabu mwaka wa tatu umeanza na kesi yao ndio kwanza mbichi serikali ndio mtetezi kwa bunge wanaolimiliki kuwakingia kifua. Ni kitu cha ajabu sana.
Watu wanakula mishahara na posho huku hawana chama wanakiwakilisha bungeni.
Hila zinapangwa wanaendelea tu na ubunge hadi watamaliza miaka mitano na kisha kulipwa kiinua mgongo mamilioni ya shilingi.
Nchi hii hakika ina vioja. Wabunge wametemwa na chama chao kwa kugushi na kujiteua viti maalum.
Ajabu mwaka wa tatu umeanza na kesi yao ndio kwanza mbichi serikali ndio mtetezi kwa bunge wanaolimiliki kuwakingia kifua. Ni kitu cha ajabu sana.
Watu wanakula mishahara na posho huku hawana chama wanakiwakilisha bungeni.
Hila zinapangwa wanaendelea tu na ubunge hadi watamaliza miaka mitano na kisha kulipwa kiinua mgongo mamilioni ya shilingi.
Hujui chochote tuliaNchi hii hakika ina vioja. Wabunge wametemwa na chama chao kwa kugushi na kujiteua viti maalum.
Ajabu mwaka wa tatu umeanza na kesi yao ndio kwanza mbichi serikali ndio mtetezi kwa bunge wanaolimiliki kuwakingia kifua. Ni kitu cha ajabu sana.
Watu wanakula mishahara na posho huku hawana chama wanakiwakilisha bungeni.
Hila zinapangwa wanaendelea tu na ubunge hadi watamaliza miaka mitano na kisha kulipwa kiinua mgongo mamilioni ya shilingi.
UKWELI uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana ndio maana umeandika ujinga huo Kesi ipo mahakamani mpaka mwezi March kwa hiyo Wamesahau nini?Nchi hii hakika ina vioja. Wabunge wametemwa na chama chao kwa kugushi na kujiteua viti maalum.
Ajabu mwaka wa tatu umeanza na kesi yao ndio kwanza mbichi serikali ndio mtetezi kwa bunge wanaolimiliki kuwakingia kifua. Ni kitu cha ajabu sana.
Watu wanakula mishahara na posho huku hawana chama wanakiwakilisha bungeni.
Hila zinapangwa wanaendelea tu na ubunge hadi watamaliza miaka mitano na kisha kulipwa kiinua mgongo mamilioni ya shilingi.