Uchaguzi 2020 CHADEMA wameshajua siasa za majukwaa zimewashinda wameanza maigizo

Uchaguzi 2020 CHADEMA wameshajua siasa za majukwaa zimewashinda wameanza maigizo

mzalendo iq1

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2020
Posts
1,257
Reaction score
1,543
CHADEMA baada ya kuona Sera zote muhim walizo kua wakizitoa kwa wanach Apo awali zote zimesha fanyiwa kazi na CCM wameona ni Bora kubadili Aina ya siasa zao kutoka siasa za majukwaan mpaka maigizo na mitandao. Juz palitokea seke seke la viongoz wa CHADEMA kukamatwa na ikawabid watoke kwa dhamana.

Kweli walifanikiwa kupata dhamana Ila kwa gia kwamba wamechangiwa na wanach kitu ambacho si kweli Kwan hamna mwananch wa kawaida Alie changia hata mia Ila wanachama wao ambayo hawakuweza kufikisha hata m1 ikabid wapitishe bakul la mkopo mwenye taasisi mbalimbal ambapo walipata kias kidogo ambacho kingine kilitoka kwa mh rais wakafanikiwa kutoka. Walipo Toka wakaja na tambo nying kwamba wamechangiwa na wanach uku wakionesha risit moja ya bank tu zingine sijui waliziweka wapo

VURUGU ZA ALIMA MDEE NA WENZAKE
Kama mtu utakua ulikuepo kipindi wanatoka makao makuu kwenda segerea kumpokea mboe na pia ulikuepo walio fika segerea ndio utajua kua Hawa watu ni wakavu wa macho na hawana aibu sababu wanajiita chama pendwa Cha wananch alafu kwenye matukio Yao ambayo wanatakiwa wawe na wapenz wao wanach wanao wapenda hua wanakua wao Kama wao Yan ukiwaangalia kwa haraka haraka utasema Hawa majamaa machizi.

Wanasema raia wamechoka rais wakat akipita wananch wanajaa barabaran kwa umbal Zaid ya KLM sita mipaka 7 ili tu wamuone rais wao alafu anatokea mtu anasema raia hawapend Rais wanatupenda sisi alafu akipita sehemu wanamuangalia Kama hamorapa tu hata akisema autubie jimbon kwake wanamsikiliza WANACHAMA Wake tu

PICHA. ZA MBUNNGE WA CHADEMA KUPIGWA
Kama nilivyo sema Apo juu chadema wameona wawekeze Sana kwenye siasa za picha na mitandao sababu wanajua kabisa watanzania hawawez kuwapa nch so wameamua kwa nguvu zote kutaka mabeberu ndio wawaamulie mshind Nani ndio maana wanafanya kila aina ya maigizo leo inasambaa picha et Kuna mbunge alikua anavutwa na Askari magereza kupelekwa ndani ili apigwe kitu ambacho Sio kwel ukwel ni kwamba alikua anatokea eleo la ambalo walikua wanafanyia vurugu na kurudishwa kwenye magar ya m4c na wote walikua wanajua nn wanaenda kufanya ndiomana alipo fika pale eneo alilo his picha za kamera Man wao aliopo kwenye gar zitampata vizuri akaanza kuweka poz ndiomana alipo fika pale akajiangusha Chin uku kamera Man na mdada mmoja ndani ya gar wakiwa wanachukua video na kupiga picha uku wakisema mm nimewapata vizuri takutumia kwenye namba yako

CHADEMA msitake kuliangamiza taifa kwa uroho wenu wa madaraka Kama kwel mpo sababu ya wananch Basi inabid mtulie tu kwasababu sasahivi WANANCH hawawaitaji nyie jijengen pangen hoja zenu vizuri waelezen wananch Sera zenu labda watawafikiria kua upande wenu Sio mnalazimisha visivyo wezekana mmeona wananch mnao wataja kila siku hawawaung mkono mmeona Bora mtumie nguvu kuwalazimisha mabeberu wasitoe misaada il tu wananch wawe na maisha magum wachague kuitoa serekal kuwapa nyie nch au kufa kwa njaa lakin tunamshukuru mungu nch hii anailinda. Pambanen na CCM sio wanach wewe unae taka watu wasipewe misaada kisa tu unataka nch wewe utakua shetan. Matukio yenu yalio pita yawe somo kwenu wanach hawawataki jaman
IMG-20200320-WA0014.jpeg
IMG-20200320-WA0011.jpeg
IMG-20200320-WA0010.jpeg
IMG-20200320-WA0008.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mzalendo iq1 (Naomba nikuite mkuu regardless)
1. Umekubali kuwa Sera zote muhimu zilikuwa za chadema na ccm wamezifanyia kazi, tuwasifu basi chadema kwa kuandaa na kutoa sera kwa ccm. Kongole kwa chadema.

2. Chadema wamebadili kutoka siasa za majukwaani hadi mitandaoni, kwani mkuu hujui kuwa chadema walikatazwa siasa za majukwaani for the past 4 years? Ulitaka wafanyie wapi siasa zao mkuu? Hapa hawajabadili siasa zao ila wamebadilishwa siasa zao na dola. Rekebisha hapo.

3. Hivi wakati wa seke seke ilikuwa viongozi wanatoka kwa dhamana au ilikuwa kesi yao imeisha na wamehukumiwa kulipa faini? Jaribu mara nyingine kujisomea na kujua kinachoendelea duniani badala ya kuendeshwa na mihemko unajikuta unaanzisha uzi kwa vitu visivyokuwepo.

4. Unasema wananchi wa kawaida hawakuchanga hata mia alafu katika sentensi hiyo hiyo unasema wanachama wao hawakufika kuchanga hata milioni 1. Hivi hawa wanachama sio wananchi wa kawaida? Kwahiyo ukiwa mwanachama wa chadema siku hizi unakuwa sio mwananchi wa kawaida Tanzania? Makubwa basi! Hivi Mh Rais alichanga na yeye kumbe? Nilidhani yeye alimtolea tu Msigwa (Japo nayo ilibuma) kumbe nae alichanga.

5. Kuhusu kilichotokea magereza naomba nisichangie maana sijaelewa kabisa ulichoandika aisee. Sijui ulitaka kuwasilisha point gani sijui sasa inakuwa ngumu kuchangia hoja yako. Ila kwa kuchangia tu ni Halima na si Alima na ni Mbowe na sio Mboe
 
CCM ya Magufuri ni Baba Lao ...
Upinzania hatuna chetu msimu huu, njaa na tamaa ya madaraka vimetusambaratisha. Serikali hii ya magufuri imeweza kuwadhihilisha wananchi kwamba Tanzania hakuna Vyama cha upinzani vyenye lengo la kutetea haki ya wananchi wake ila kuna Vyama vya kusaka tonge.
 
Uelewe mwananch wa kawaida na mwananch mwanachama chadema juz imesema Ina wanachama m7 Tanzania mzima CCM wakasema Wana wanachama m15 Tanzania Kuna jumla ya watanzania m50; Sasa Apo utajua nin maana ya wanach wa kawaida
Alafu kuhusu mikutano mnayo SEMA mmeziwiliwa ivi ule mkutano wa mwenye kit fulan ulio ziwiliwa na wananch ulikua sio wa kisisa?
Mkuu Mzalendo iq1 (Naomba nikuite mkuu regardless)
1. Umekubali kuwa Sera zote muhimu zilikuwa za chadema na ccm wamezifanyia kazi, tuwasifu basi chadema kwa kuandaa na kutoa sera kwa ccm. Kongole kwa chadema.

2. Chadema wamebadili kutoka siasa za majukwaani hadi mitandaoni, kwani mkuu hujui kuwa chadema walikatazwa siasa za majukwaani for the past 4 years? Ulitaka wafanyie wapi siasa zao mkuu? Hapa hawajabadili siasa zao ila wamebadilishwa siasa zao na dola. Rekebisha hapo.

3. Hivi wakati wa seke seke ilikuwa viongozi wanatoka kwa dhamana au ilikuwa kesi yao imeisha na wamehukumiwa kulipa faini? Jaribu mara nyingine kujisomea na kujua kinachoendelea duniani badala ya kuendeshwa na mihemko unajikuta unaanzisha uzi kwa vitu visivyokuwepo.

4. Unasema wananchi wa kawaida hawakuchanga hata mia alafu katika sentensi hiyo hiyo unasema wanachama wao hawakufika kuchanga hata milioni 1. Hivi hawa wanachama sio wananchi wa kawaida? Kwahiyo ukiwa mwanachama wa chadema siku hizi unakuwa sio mwananchi wa kawaida Tanzania? Makubwa basi! Hivi Mh Rais alichanga na yeye kumbe? Nilidhani yeye alimtolea tu Msigwa (Japo nayo ilibuma) kumbe nae alichanga.

5. Kuhusu kilichotokea magereza naomba nisichangie maana sijaelewa kabisa ulichoandika aisee. Sijui ulitaka kuwasilisha point gani sijui sasa inakuwa ngumu kuchangia hoja yako. Ila kwa kuchangia tu ni Halima na si Alima na ni Mbowe na sio Mboe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHADEMA baada ya kuona Sera zote muhim walizo kua wakizitoa kwa wanach Apo awali zote zimesha fanyiwa kazi na CCM wameona ni Bora kubadili Aina ya siasa zao kutoka siasa za majukwaan mpaka maigizo na mitandao. Juz palitokea seke seke la viongoz wa CHADEMA kukamatwa na ikawabid watoke kwa dhamana. Kweli walifanikiwa kupata dhamana Ila kwa gia kwamba wamechangiwa na wanach kitu ambacho si kweli Kwan hamna mwananch wa kawaida Alie changia hata mia Ila wanachama wao ambayo hawakuweza kufikisha hata m1 ikabid wapitishe bakul la mkopo mwenye taasisi mbalimbal ambapo walipata kias kidogo ambacho kingine kilitoka kwa mh rais wakafanikiwa kutoka.
Walipo Toka wakaja na tambo nying kwamba wamechangiwa na wanach uku wakionesha risit moja ya bank tu zingine sijui waliziweka wapo

VURUGU ZA ALIMA MDEE NA WENZAKE
Kama mtu utakua ulikuepo kipindi wanatoka makao makuu kwenda segerea kumpokea mboe na pia ulikuepo walio fika segerea ndio utajua kua Hawa watu ni wakavu wa macho na hawana aibu sababu wanajiita chama pendwa Cha wananch alafu kwenye matukio Yao ambayo wanatakiwa wawe na wapenz wao wanach wanao wapenda hua wanakua wao Kama wao Yan ukiwaangalia kwa haraka haraka utasema Hawa majamaa machizi
Wanasema raia wamechoka rais wakat akipita wananch wanajaa barabaran kwa umbal Zaid ya KLM sita mipaka 7 ili tu wamuone rais wao alafu anatokea mtu anasema raia hawapend Rais wanatupenda sisi alafu akipita sehemu wanamuangalia Kama hamorapa tu hata akisema autubie jimbon kwake wanamsikiliza WANACHAMA Wake tu

PICHA. ZA MBUNNGE WA CHADEMA KUPIGWA
Kama nilivyo sema Apo juu chadema wameona wawekeze Sana kwenye siasa za picha na mitandao sababu wanajua kabisa watanzania hawawez kuwapa nch so wameamua kwa nguvu zote kutaka mabeberu ndio wawaamulie mshind Nan ndiomana wanafanya kila Aina ya maigizo leo inasambaa picha et Kuna mbunge alikua anavutwa na Askari magereza kupelekwa ndani ili apigwe kitu ambacho Sio kwel ukwel ni kwamba alikua anatokea eleo la ambalo walikua wanafanyia vurugu na kurudishwa kwenye magar ya m4c na wote walikua wanajua nn wanaenda kufanya ndiomana alipo fika pale eneo alilo his picha za kamera Man wao aliopo kwenye gar zitampata vizuri akaanza kuweka poz ndiomana alipo fika pale akajiangusha Chin uku kamera Man na mdada mmoja ndani ya gar wakiwa wanachukua video na kupiga picha uku wakisema mm nimewapata vizuri takutumia kwenye namba yako

CHADEMA msitake kuliangamiza taifa kwa uroho wenu wa madaraka Kama kwel mpo sababu ya wananch Basi inabid mtulie tu kwasababu sasahivi WANANCH hawawaitaji nyie jijengen pangen hoja zenu vizuri waelezen wananch Sera zenu labda watawafikiria kua upande wenu Sio mnalazimisha visivyo wezekana mmeona wananch mnao wataja kila siku hawawaung mkono mmeona Bora mtumie nguvu kuwalazimisha mabeberu wasitoe misaada il tu wananch wawe na maisha magum wachague kuitoa serekal kuwapa nyie nch au kufa kwa njaa lakin tunamshukuru mungu nch hii anailinda. Pambanen na CCM sio wanach wewe unae taka watu wasipewe misaada kisa tu unataka nch wewe utakua shetan
Matukio yenu yalio pita yawe somo kwenu wanach hawawataki jamanView attachment 1395759View attachment 1395761View attachment 1395762View attachment 1395763

Sent using Jamii Forums mobile app
Cdm sio chama cha Upinzani chenye lengo la kuwaletea wananchi wake haki, uhuru na maendeleo kwa ujumla wake, isipokuwa cdm ni chama cha wasaka tonge na madaraka tu. Chama imara chenye lengo la kuwaletea wananchi wake madendeleo hakiwezi kuwa na viongozi tena viongozi wakubwa wasiojitambua na wasiotambua wananchi tunataka nini kwa wakati huu na wakati ujao. Nasema awa Cdm hawajitambui kwasababu zifuatazo;
--Kuwa chama cha Upinzani, haina maana kwamba wewe uwe mpigaji wa kila jambo ata jambo likiwa ni jema kwa wananchi. tumeshuhudi viongozi wetu wa cdm wakipiga na kutaka kukwamisha mambo mema kwa wananchi yanayofanywa na ccm/ mhe magufuri.
--Cdm/viongozi wao wamekuwa ni watu waongo wa waziwazi kwa wananchi wao, yaani sio watu wanaoongozwa na kanuni, sheria na taratibu katika kutekeleza yale wanayoyasimamia. yaani hawa jamaa utakuta leo wanampiga jambo fulani kwamfano "ufisadi" chakushangaza kesho fisadi anakuwa swahiba wao.
-- Cdm hawana mpango mkakati imara zaidi ya ccm wa kuwaletea wananchi wake maendeleo, wao focus yao ni kupingana na sera imara za magufuri zenye lengo la kuwakomboa wananchi wake.

Namalizia kwa Kusema, mhe magufuri ndiye Raisi bora wa sasa na Wabadae
 
CHADEMA baada ya kuona Sera zote muhim walizo kua wakizitoa kwa wanach Apo awali zote zimesha fanyiwa kazi na CCM wameona ni Bora kubadili Aina ya siasa zao kutoka siasa za majukwaan mpaka maigizo na mitandao. Juz palitokea seke seke la viongoz wa CHADEMA kukamatwa na ikawabid watoke kwa dhamana. Kweli walifanikiwa kupata dhamana Ila kwa gia kwamba wamechangiwa na wanach kitu ambacho si kweli Kwan hamna mwananch wa kawaida Alie changia hata mia Ila wanachama wao ambayo hawakuweza kufikisha hata m1 ikabid wapitishe bakul la mkopo mwenye taasisi mbalimbal ambapo walipata kias kidogo ambacho kingine kilitoka kwa mh rais wakafanikiwa kutoka.
Walipo Toka wakaja na tambo nying kwamba wamechangiwa na wanach uku wakionesha risit moja ya bank tu zingine sijui waliziweka wapo

VURUGU ZA ALIMA MDEE NA WENZAKE
Kama mtu utakua ulikuepo kipindi wanatoka makao makuu kwenda segerea kumpokea mboe na pia ulikuepo walio fika segerea ndio utajua kua Hawa watu ni wakavu wa macho na hawana aibu sababu wanajiita chama pendwa Cha wananch alafu kwenye matukio Yao ambayo wanatakiwa wawe na wapenz wao wanach wanao wapenda hua wanakua wao Kama wao Yan ukiwaangalia kwa haraka haraka utasema Hawa majamaa machizi
Wanasema raia wamechoka rais wakat akipita wananch wanajaa barabaran kwa umbal Zaid ya KLM sita mipaka 7 ili tu wamuone rais wao alafu anatokea mtu anasema raia hawapend Rais wanatupenda sisi alafu akipita sehemu wanamuangalia Kama hamorapa tu hata akisema autubie jimbon kwake wanamsikiliza WANACHAMA Wake tu

PICHA. ZA MBUNNGE WA CHADEMA KUPIGWA
Kama nilivyo sema Apo juu chadema wameona wawekeze Sana kwenye siasa za picha na mitandao sababu wanajua kabisa watanzania hawawez kuwapa nch so wameamua kwa nguvu zote kutaka mabeberu ndio wawaamulie mshind Nan ndiomana wanafanya kila Aina ya maigizo leo inasambaa picha et Kuna mbunge alikua anavutwa na Askari magereza kupelekwa ndani ili apigwe kitu ambacho Sio kwel ukwel ni kwamba alikua anatokea eleo la ambalo walikua wanafanyia vurugu na kurudishwa kwenye magar ya m4c na wote walikua wanajua nn wanaenda kufanya ndiomana alipo fika pale eneo alilo his picha za kamera Man wao aliopo kwenye gar zitampata vizuri akaanza kuweka poz ndiomana alipo fika pale akajiangusha Chin uku kamera Man na mdada mmoja ndani ya gar wakiwa wanachukua video na kupiga picha uku wakisema mm nimewapata vizuri takutumia kwenye namba yako

CHADEMA msitake kuliangamiza taifa kwa uroho wenu wa madaraka Kama kwel mpo sababu ya wananch Basi inabid mtulie tu kwasababu sasahivi WANANCH hawawaitaji nyie jijengen pangen hoja zenu vizuri waelezen wananch Sera zenu labda watawafikiria kua upande wenu Sio mnalazimisha visivyo wezekana mmeona wananch mnao wataja kila siku hawawaung mkono mmeona Bora mtumie nguvu kuwalazimisha mabeberu wasitoe misaada il tu wananch wawe na maisha magum wachague kuitoa serekal kuwapa nyie nch au kufa kwa njaa lakin tunamshukuru mungu nch hii anailinda. Pambanen na CCM sio wanach wewe unae taka watu wasipewe misaada kisa tu unataka nch wewe utakua shetan
Matukio yenu yalio pita yawe somo kwenu wanach hawawataki jamanView attachment 1395759View attachment 1395761View attachment 1395762View attachment 1395763

Sent using Jamii Forums mobile app

Umejiunga hata jukwaani wiki iliyopita ili uje utapike upuuzi hapa jukwaani. Kibaya sio kujiunga wiki iliyopita, bali ni pale unapooandika upuuzi bila koma wala nukta. Kama ungemaliza course ya kujua kuandika isingelikuta hili jukwaa ili uje uandike huu upuuzi wako. Hivyo nyie vilaza ccm inawaokota wapi na kuwaagiza kuja kuitetea humu jukwaani?
 
Uelewe mwananch wa kawaida na mwananch mwanachama chadema juz imesema Ina wanachama m7 Tanzania mzima CCM wakasema Wana wanachama m15 Tanzania Kuna jumla ya watanzania m50; Sasa Apo utajua nin maana ya wanach wa kawaida
Alafu kuhusu mikutano mnayo SEMA mmeziwiliwa ivi ule mkutano wa mwenye kit fulan ulio ziwiliwa na wananch ulikua sio wa kisisa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini ukimaliza kuandika hufanyi proof reading mkuu? Unaona raha gani kuandika makorokocho hivi kila saa mkuu?

Nashindwa hata kukujibu hoja yako sasa.

Alafu koma kunihusisha na vyama vya siasa mimi mkuu, sina chama chochote ninashabikia uTanzania tu kwa sasa.
 
Uelewe mwananch wa kawaida na mwananch mwanachama chadema juz imesema Ina wanachama m7 Tanzania mzima CCM wakasema Wana wanachama m15 Tanzania Kuna jumla ya watanzania m50; Sasa Apo utajua nin maana ya wanach wa kawaida
Alafu kuhusu mikutano mnayo SEMA mmeziwiliwa ivi ule mkutano wa mwenye kit fulan ulio ziwiliwa na wananch ulikua sio wa kisisa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuliko kutumika kama punda, ni vyema ukarudi shule ujifunze kuandika kwa usahihi. Huu uandishi wa ukilaza ndio unadhihirisha ccm ni chama cha vilaza, ndio maana inatumia mabavu kubaki madarakani.
 
Cdm sio chama cha Upinzani chenye lengo la kuwaletea wananchi wake haki, uhuru na maendeleo kwa ujumla wake, isipokuwa cdm ni chama cha wasaka tonge na madaraka tu. Chama imara chenye lengo la kuwaletea wananchi wake madendeleo hakiwezi kuwa na viongozi tena viongozi wakubwa wasiojitambua na wasiotambua wananchi tunataka nini kwa wakati huu na wakati ujao. Nasema awa Cdm hawajitambui kwasababu zifuatazo;
--Kuwa chama cha Upinzani, haina maana kwamba wewe uwe mpigaji wa kila jambo ata jambo likiwa ni jema kwa wananchi. tumeshuhudi viongozi wetu wa cdm wakipiga na kutaka kukwamisha mambo mema kwa wananchi yanayofanywa na ccm/ mhe magufuri.
--Cdm/viongozi wao wamekuwa ni watu waongo wa waziwazi kwa wananchi wao, yaani sio watu wanaoongozwa na kanuni, sheria na taratibu katika kutekeleza yale wanayoyasimamia. yaani hawa jamaa utakuta leo wanampiga jambo fulani kwamfano "ufisadi" chakushangaza kesho fisadi anakuwa swahiba wao.
-- Cdm hawana mpango mkakati imara zaidi ya ccm wa kuwaletea wananchi wake maendeleo, wao focus yao ni kupingana na sera imara za magufuri zenye lengo la kuwakomboa wananchi wake.

Namalizia kwa Kusema, mhe magufuri ndiye Raisi bora wa sasa na Wabadae

Ni kwamba huyu kilaza mwenzio aliyeanzisha uzi mna undugu? Mbona wote hamjui kuandika kwa usahihi zaidi ya kutapika upuuzi mmoja mliokaririshwa na Polepole? Ni kuwa wenye akili huko ccm wameona mambo ni magumu, mpaka imebidi nyie vilaza ndio mpewe kazi ya kuitetea ccm huku jukwaani?
 
CHADEMA baada ya kuona Sera zote muhim walizo kua wakizitoa kwa wanach Apo awali zote zimesha fanyiwa kazi na CCM wameona ni Bora kubadili Aina ya siasa zao kutoka siasa za majukwaan mpaka maigizo na mitandao. Juz palitokea seke seke la viongoz wa CHADEMA kukamatwa na ikawabid watoke kwa dhamana. Kweli walifanikiwa kupata dhamana Ila kwa gia kwamba wamechangiwa na wanach kitu ambacho si kweli Kwan hamna mwananch wa kawaida Alie changia hata mia Ila wanachama wao ambayo hawakuweza kufikisha hata m1 ikabid wapitishe bakul la mkopo mwenye taasisi mbalimbal ambapo walipata kias kidogo ambacho kingine kilitoka kwa mh rais wakafanikiwa kutoka.
Walipo Toka wakaja na tambo nying kwamba wamechangiwa na wanach uku wakionesha risit moja ya bank tu zingine sijui waliziweka wapo

VURUGU ZA ALIMA MDEE NA WENZAKE
Kama mtu utakua ulikuepo kipindi wanatoka makao makuu kwenda segerea kumpokea mboe na pia ulikuepo walio fika segerea ndio utajua kua Hawa watu ni wakavu wa macho na hawana aibu sababu wanajiita chama pendwa Cha wananch alafu kwenye matukio Yao ambayo wanatakiwa wawe na wapenz wao wanach wanao wapenda hua wanakua wao Kama wao Yan ukiwaangalia kwa haraka haraka utasema Hawa majamaa machizi
Wanasema raia wamechoka rais wakat akipita wananch wanajaa barabaran kwa umbal Zaid ya KLM sita mipaka 7 ili tu wamuone rais wao alafu anatokea mtu anasema raia hawapend Rais wanatupenda sisi alafu akipita sehemu wanamuangalia Kama hamorapa tu hata akisema autubie jimbon kwake wanamsikiliza WANACHAMA Wake tu

PICHA. ZA MBUNNGE WA CHADEMA KUPIGWA
Kama nilivyo sema Apo juu chadema wameona wawekeze Sana kwenye siasa za picha na mitandao sababu wanajua kabisa watanzania hawawez kuwapa nch so wameamua kwa nguvu zote kutaka mabeberu ndio wawaamulie mshind Nan ndiomana wanafanya kila Aina ya maigizo leo inasambaa picha et Kuna mbunge alikua anavutwa na Askari magereza kupelekwa ndani ili apigwe kitu ambacho Sio kwel ukwel ni kwamba alikua anatokea eleo la ambalo walikua wanafanyia vurugu na kurudishwa kwenye magar ya m4c na wote walikua wanajua nn wanaenda kufanya ndiomana alipo fika pale eneo alilo his picha za kamera Man wao aliopo kwenye gar zitampata vizuri akaanza kuweka poz ndiomana alipo fika pale akajiangusha Chin uku kamera Man na mdada mmoja ndani ya gar wakiwa wanachukua video na kupiga picha uku wakisema mm nimewapata vizuri takutumia kwenye namba yako

CHADEMA msitake kuliangamiza taifa kwa uroho wenu wa madaraka Kama kwel mpo sababu ya wananch Basi inabid mtulie tu kwasababu sasahivi WANANCH hawawaitaji nyie jijengen pangen hoja zenu vizuri waelezen wananch Sera zenu labda watawafikiria kua upande wenu Sio mnalazimisha visivyo wezekana mmeona wananch mnao wataja kila siku hawawaung mkono mmeona Bora mtumie nguvu kuwalazimisha mabeberu wasitoe misaada il tu wananch wawe na maisha magum wachague kuitoa serekal kuwapa nyie nch au kufa kwa njaa lakin tunamshukuru mungu nch hii anailinda. Pambanen na CCM sio wanach wewe unae taka watu wasipewe misaada kisa tu unataka nch wewe utakua shetan
Matukio yenu yalio pita yawe somo kwenu wanach hawawataki jamanView attachment 1395759View attachment 1395761View attachment 1395762View attachment 1395763

Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm mko desperate baada ya kugundua wananchi hawawataki mmebake mmekata tamaa maana time huru ikipatkana kina bashite wajiandae kukimbia nchi na babake.
 
Kuna sababu kuu mbili
1. Hajui kuwa hajui kuandika
2. Anang'ang'ania kushiriki kwenye mbio za kudaka buku 7
Kwanini ukimaliza kuandika hufanyi proof reading mkuu? Unaona raha gani kuandika makorokocho hivi kila saa mkuu?

Nashindwa hata kukujibu hoja yako sasa.

Alafu koma kunihusisha na vyama vya siasa mimi mkuu, sina chama chochote ninashabikia uTanzania tu kwa sasa.
 
Serikali ya kuwekeana sumuuuuuu.unamuwekea mtu sumu halafu unakuwa wa kwanza kwenda kumuona ukitoka unaenda KANISANI UNAKAA MSTARI/DAWATI LA MBELEE
SIKU NYINGINE ANDIKA MAGUFULI siyo Magufuri. Tunajua uliiba mitihani ya kuhitimu.
Cc mtambuka mana naye ni mwizi wa mitihani kama wewe
CCM ya Magufuri ni Baba Lao ...
Upinzania hatuna chetu msimu huu, njaa na tamaa ya madaraka vimetusambaratisha. Serikali hii ya magufuri imeweza kuwadhihilisha wananchi kwamba Tanzania hakuna Vyama cha upinzani vyenye lengo la kutetea haki ya wananchi wake ila kuna Vyama vya kusaka tonge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kisa ni CCM ndio wasiwekean sum hata wewe huenda kila siku unakesha unawanga ili mwenzako asifanikiwe
Serikali ya kuwekeana sumuuuuuu.unamuwekea mtu sumu halafu unakuwa wa kwanza kwenda kumuona ukitoka unaenda KANISANI UNAKAA MSTARI/DAWATI LA MBELEE
SIKU NYINGINE ANDIKA MAGUFULI siyo Magufuri. Tunajua uliiba mitihani ya kuhitimu.
Cc mtambuka mana naye ni mwizi wa mitihani kama wewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom