johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
CCM wanajua siasa na kimsingi ndio chama pekee cha siasa nchini.
Jiulize baada ya CCM kuzitekanyara sera za Chadema ile Vita ya mafisadi iliyoasisiwa na Dr Slaa ft Tundu Lissu pale Mwembe Yanga na hii ya Katiba mpya sasa Ufipa wamebki na nini?
Mambo ya Katiba mpya sass CCM imeyabariki na kuwapeleka Kikosi kazi cha Prof. Mkandalla na Zitto Kabwe hivyo Pambalu na Mwaipaya wa Bavicha hawana kazi tena za kuzunguka nchi nzima.
Mungu ni mwema wakati wote.
Jiulize baada ya CCM kuzitekanyara sera za Chadema ile Vita ya mafisadi iliyoasisiwa na Dr Slaa ft Tundu Lissu pale Mwembe Yanga na hii ya Katiba mpya sasa Ufipa wamebki na nini?
Mambo ya Katiba mpya sass CCM imeyabariki na kuwapeleka Kikosi kazi cha Prof. Mkandalla na Zitto Kabwe hivyo Pambalu na Mwaipaya wa Bavicha hawana kazi tena za kuzunguka nchi nzima.
Mungu ni mwema wakati wote.