johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe Ni kazi bure, hasara tupuCCM wanajua siasa na kimsingi ndio chama pekee cha siasa nchini.
Jiulize baada ya CCM kuzitekanyara sera za Chadema ile Vita ya mafisadi iliyoasisiwa na Dr Slaa ft Tundu Lissu pale Mwembe Yanga na hii ya Katiba mpya sasa Ufipa wamebki na nini?
Mambo ya Katiba mpya sass CCM imeyabariki na kuwapeleka Kikosi kazi cha Prof. Mkandalla na Zitto Kabwe hivyo Pambalu na Mwaipaya wa Bavicha hawana kazi tena za kuzunguka nchi nzima.
Mungu ni mwema wakati wote.
CCM wanajua siasa na kimsingi ndio chama pekee cha siasa nchini.
Jiulize baada ya CCM kuzitekanyara sera za Chadema ile Vita ya mafisadi iliyoasisiwa na Dr Slaa ft Tundu Lissu pale Mwembe Yanga na hii ya Katiba mpya sasa Ufipa wamebki na nini?
Mambo ya Katiba mpya sass CCM imeyabariki na kuwapeleka Kikosi kazi cha Prof. Mkandalla na Zitto Kabwe hivyo Pambalu na Mwaipaya wa Bavicha hawana kazi tena za kuzunguka nchi nzima.
Mungu ni mwema wakati wote.
Siasa ni sayansi, na CCM ni wanasayansi.
Kachukue posho yako kwa MhasibuCCM wanajua siasa na kimsingi ndio chama pekee cha siasa nchini.
Jiulize baada ya CCM kuzitekanyara sera za Chadema ile Vita ya mafisadi iliyoasisiwa na Dr Slaa ft Tundu Lissu pale Mwembe Yanga na hii ya Katiba mpya sasa Ufipa wamebki na nini?
Mambo ya Katiba mpya sass CCM imeyabariki na kuwapeleka Kikosi kazi cha Prof. Mkandalla na Zitto Kabwe hivyo Pambalu na Mwaipaya wa Bavicha hawana kazi tena za kuzunguka nchi nzima.
Mungu ni mwema wakati wote.
Sasa sera yenu ni wabunge 19 wa viti maalumuKachukue posho yako kwa Mhasibu
CCM wanajua siasa na kimsingi ndio chama pekee cha siasa nchini.
Jiulize baada ya CCM kuzitekanyara sera za Chadema ile Vita ya mafisadi iliyoasisiwa na Dr Slaa ft Tundu Lissu pale Mwembe Yanga na hii ya Katiba mpya sasa Ufipa wamebki na nini?
Mambo ya Katiba mpya sass CCM imeyabariki na kuwapeleka Kikosi kazi cha Prof. Mkandalla na Zitto Kabwe hivyo Pambalu na Mwaipaya wa Bavicha hawana kazi tena za kuzunguka nchi nzima.
Mungu ni mwema wakati wote.
Bado hujalipwa?Sasa sera yenu ni wabunge 19 wa viti maalumu
Maana yake ni kuwa hii ni hatua NZURI muhimu, kwani ujumbe wa uhitaji wa Katiba mpya SASA umefika.CCM wanajua siasa na kimsingi ndio chama pekee cha siasa nchini.
Jiulize baada ya CCM kuzitekanyara sera za Chadema ile Vita ya mafisadi iliyoasisiwa na Dr Slaa ft Tundu Lissu pale Mwembe Yanga na hii ya Katiba mpya sasa Ufipa wamebki na nini?
Mambo ya Katiba mpya sass CCM imeyabariki na kuwapeleka Kikosi kazi cha Prof. Mkandalla na Zitto Kabwe hivyo Pambalu na Mwaipaya wa Bavicha hawana kazi tena za kuzunguka nchi nzima.
Mungu ni mwema wakati wote.
Unadhani hatukumbuki maneno ya ccm kuwa katiba hapana ati wanajenga nchi, pia wadhan hatujui harakati za bavicha ya akina pombal na mwaipaya juu katiba mpya mpaka sasa ccm wameufyata na kuikubali.CCM wanajua siasa na kimsingi ndio chama pekee cha siasa nchini.
Jiulize baada ya CCM kuzitekanyara sera za Chadema ile Vita ya mafisadi iliyoasisiwa na Dr Slaa ft Tundu Lissu pale Mwembe Yanga na hii ya Katiba mpya sasa Ufipa wamebki na nini?
Mambo ya Katiba mpya sass CCM imeyabariki na kuwapeleka Kikosi kazi cha Prof. Mkandalla na Zitto Kabwe hivyo Pambalu na Mwaipaya wa Bavicha hawana kazi tena za kuzunguka nchi nzima.
Mungu ni mwema wakati wote.
Yule kule tahahira ati anadai ni mpango wa ccm kumbe ukweli wenyewe ndio huu na tuliujua kitambo.Maana yake ni kuwa hii ni hatua NZURI muhimu, kwani ujumbe wa uhitaji wa Katiba mpya SASA umefika.
View attachment 2270548 View attachment 2270552
Mbowe kafanya makubwa snMaana yake ni kuwa hii ni hatua NZURI muhimu, kwani ujumbe wa uhitaji wa Katiba mpya SASA umefika.
View attachment 2270548 View attachment 2270552