johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kinachoendelea Chadema siyo tena hekaheka za Uchaguzi Bali ni kama Kuna Laana Fulani
Chadema wamfanyie Hitma Mohamed Kibao Kwa sababu Kwa ajili ya Chadema Meddy aliuawa
Nakumbuka Simba SC Walikuwa wanafanya Hitma Kwa wanaoifia Kilabu NAMI nilishiriki Hitma ya Hussein Tindwa aliyefia Uwanjani akiipigania Simba Kimataifa dhidi ya Racca Rovers au Union Doula sikumbuki vizuri
Chadema itakufa huku tunaiangalia
Ahsanteni Sana 🐼
Chadema wamfanyie Hitma Mohamed Kibao Kwa sababu Kwa ajili ya Chadema Meddy aliuawa
Nakumbuka Simba SC Walikuwa wanafanya Hitma Kwa wanaoifia Kilabu NAMI nilishiriki Hitma ya Hussein Tindwa aliyefia Uwanjani akiipigania Simba Kimataifa dhidi ya Racca Rovers au Union Doula sikumbuki vizuri
Chadema itakufa huku tunaiangalia
Ahsanteni Sana 🐼