CHADEMA wamruhusu Zitto kufanya apendacho


Kada,

Spotlight kwa kumshambulia kada? ha ha ha ha haaaaa? I will have to get it on discount on Black Friday.

Ni kweli "Chadema wamruhuru" ni tungo tata, lakini ukisoma hii mada na ukiangalia premises zake, utata wote unaondoka. Kwahiyo, hii mada haina utata wowote ispokuwa mchecheto tu wa msomaji.
 
bora bana umenikumbusha ! najikongoja huko mie, tukutane basi mzee !
 
Maweurweru yatawakumba sana mwaka huu na haswa baada ya kuwashutukia mafisadi wa JK kwenye kamati wameanza kujitoa mmoja baada ya mwingine,kazi ipoo .

Today is Machunde aka Karamagi, tommorrow will be Kejo aka Chenge.......
 
haya haya haya haya kumekucha tena jamani,tuleteeni utamu ulojiri ndani ya kikao.nasikia chacha wangwe na dr slaa wanamkomalia nyani giladi asubuhi kweupeeeeeeee.......leteni news zaidi MKANDARA na wenzako.

mkjj......tupe news za kikao kukoje?

KADA MPINZANI....lete vitu kamanda
 
CHADEMA hawapo hivyo. Hakuna ya kutoka kwenye kikao na kurusha maneno wakati watu wanaendelea kukata issue ndani, hayo ni mambo ya CCM. Subiri tu kikao kikiisha then statement itatoka, ndipo utapata habari.
 
aminia kaka haina noma.tunasubiri news zikishafanyiwa EDITING ndio mtuletee hapa au vipi?
 
Kwa upande wangu mimi naona umeongea la maana! kwani haya magazeti naona yanafanya biashara ya advitersment! kila kukicha yanatangaza jina la Zitto tuuuu! mradi wayauze na mbaya zaidi wanatumiwa na mafisadi waliohusika na kashfa za madini!
 
Kwa vyovyote vile mkutano huu utakuwa umezaa makundi ya kudumu yaani kutofautiana kwa kudumu, ingawa wanasiasa wataficha lakini hivi ndivyo itakavyokuwa. Najua wnafiki wtasema otherwise, lakini ni MTIHANI MKUBWA SANA. Busara ilikuwa kuitisha mkutano huu wakati munkari ukiwa umeshuka.
 

'kwa vyovyote......'
'najua wanafiki....'

Umekwishahitimisha, kwa hiyo hakuna mjadala tena hapo!

Halafu unasema:
'ni MTIHANI MKUBWA SANA' tujuavyo wengi tuliowahi kuwa wanafunzi, mtihani hufauriwa, tena kwa rangi zirukazo! Kwa hiyo hitimisho linavurugika tena! Sasa sijui tuelewe lipi?
 

hawa jamaa hawana lolote, and that sh*tty mkutano sijui kamati hata sijui ni ya nini, wanapenda tu misifa na exposure kwenye media!

wee injinia unajificha wapi siku hizi ????????? MCHAMBAWIMA au ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…