LGE2024 CHADEMA wanaofaidika nini kwa Kufuatilia Kura za maoni CCM kwenye maeneo mbalimbali na kuzusha kuna Wizi wa Kura?

LGE2024 CHADEMA wanaofaidika nini kwa Kufuatilia Kura za maoni CCM kwenye maeneo mbalimbali na kuzusha kuna Wizi wa Kura?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
3F72CA95-3457-4A08-B295-68ACDE67615D.jpeg

Wembe ni ule ule USHINDI
 
Kama hawa kujipanga basi wasubiri kupangwa...
 
Nilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa

Hawa Chadema ni kama Wamerogwa, tuwapuuze

Baadae Mlale unono 🐼
Wagombea wao wako vibindoni wanasubiri rush hours
 
Nilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa

Hawa Chadema ni kama Wamerogwa, tuwapuuze

Baadae Mlale unono 🐼
Yaani cdn wafuatilie hicho chama cha wazee😂😂 Au ni mambo ya kutaka kujipa umarudu usiokuwa nao?
 
Kuvuja kwa pakacha.......
Aliye juu.......
Jiwe walilokataa......
 
Nilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa

Hawa Chadema ni kama Wamerogwa, tuwapuuze

Baadae Mlale unono 🐼
Kuna siku mtakuwa lined for firing squad!
 
Back
Top Bottom