johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wagombea wao wako vibindoni wanasubiri rush hoursNilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa
Hawa Chadema ni kama Wamerogwa, tuwapuuze
Baadae Mlale unono πΌ
Huna akiliNilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa
Hawa Chadema ni kama Wamerogwa, tuwapuuze
Baadae Mlale unono πΌ
Yaani cdn wafuatilie hicho chama cha wazeeππ Au ni mambo ya kutaka kujipa umarudu usiokuwa nao?Nilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa
Hawa Chadema ni kama Wamerogwa, tuwapuuze
Baadae Mlale unono πΌ
Fanyeni yenu bwashee
Acha ukabilaFanyeni yenu bwashee
Hapo kwa Kibosha hadi Zinga kwa Mtoro kuna wachagga wengi Sana Wanataka kukikamata chama π
mafuriko ya chadema π€£View attachment 3133513
Wembe ni ule ule USHINDI
Hapo Rombo mmeiba daftari la Wapiga KuraCCM ni kusanyiko la watu wajinga sn
Wachagga siyo kabila manka ππAcha ukabila
Kama wakinga mlivyoshindikana kwa uchawiHapo Rombo mmeiba daftari la Wapiga Kura
Wachagga kwa Wizi mmeshindikana π
We hunaga akili timamuWachagga siyo kabila manka ππ
ππWe hunaga akili timamu
Kuna siku mtakuwa lined for firing squad!Nilitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa busy kujipanga na uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kumbe nilikosea Sana wao wako busy kuzusha Uwongo Kwamba Kura za maoni CCM zinafeli kila Mtaa
Hawa Chadema ni kama Wamerogwa, tuwapuuze
Baadae Mlale unono πΌ