#COVID19 CHADEMA wanastahili pongezi kwa msimamo wao dhidi ya COVID-19

#COVID19 CHADEMA wanastahili pongezi kwa msimamo wao dhidi ya COVID-19

Bowie

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
4,373
Reaction score
6,084
Toka janga la Covid19 lianze mwaka jana msimamo wa chama cha CHADEMA ulikuwa watu tahadhri zote zichukuliwe kama kuvaa mask na kuungana na jumuiya za kimataifa katika kupambana na ugonjwa huu ikiwezekana watu kuchanjwa.

Wabunge wa CHADEMA walipovaa mask bungeni walionekana wasaliti. Mwenyekiti wa Chadema alitoa tamko la kuwa chanjo iwe lazima na tunapoelekea huko mbele hili litafanyika kwani tumeona mataifa makubwa kama Ufaransa wakitoa mwongozo wa Chanjo ni lazima.

Ni aibu kubwa kwa kuona Mbunge wa Kawe akiwapotosha watanzania wakati chama kikuu cha upinzani kikuunga mkono kampeni za serikali katika kupambana na janga hili.

Hongera viongozi wa Chadema kwa kuweza kuliona suala la kupambana na Covid19 mapema sana.
 
Sasa mbona wanalilia ruksa ya kufanya mikutano ya hadhara.

Kwann walishiriki uchaguzi mkuu kwa kufanya kampeni zilizokusanya maelfu ya watu ilihali miezi michache nyuma walisusia vikao vya bunge la bajeti.

Na yule padre wao mwenye kiherehere, aliewahi kuwa mwalim wa SAUT-NYEGEZI,
mbona leo hatoi tamko.
 
Sasa mbona wanalilia ruksa ya kufanya mikutano ya hadhara.

Kwann walishiriki uchaguzi mkuu kwa kufanya kampeni zilizokusanya maelfu ya watu ilihali miezi michache nyuma walisusia vikao vya bunge la bajeti.

Na yule padre wao mwenye kiherehere, aliewahi kuwa mwalim wa SAUT-NYEGEZI,
mbona leo hatoi tamko.
Aongee nini kama aliyoshauri yanafanyiwa kazi? mpuuzi wewe
 
Ok

IMG_20210729_122958.jpg


IMG_20210726_081600.jpg


IMG_20210729_123014.jpg


IMG_20210728_215239.jpg
 
wagonjwa wa,
1.KISUKARI
2.PRESHA
3.MOYO
4.SARATANI
5.UKIMWI
wagonjwa wa maradhi hayo wanapaswa wachue tahadhari sana maana Corona itatumaliza sana.
 
Toka janga la Covid19 lianze mwaka jana msimamo wa chama cha CHADEMA ulikuwa watu tahadhri zote zichukuliwe kama kuvaa mask na kuungana na jumuiya za kimataifa katika kupambana na ugonjwa huu ikiwezekana watu kuchanjwa.

Wabunge wa CHADEMA walipovaa mask bungeni walionekana wasaliti. Mwenyekiti wa Chadema alitoa tamko la kuwa chanjo iwe lazima na tunapoelekea huko mbele hili litafanyika kwani tumeona mataifa makubwa kama Ufaransa wakitoa mwongozo wa Chanjo ni lazima.

Ni aibu kubwa kwa kuona Mbunge wa Kawe akiwapotosha watanzania wakati chama kikuu cha upinzani kikuunga mkono kampeni za serikali katika kupambana na janga hili.

Hongera viongozi wa Chadema kwa kuweza kuliona suala la kupambana na Covid19 mapema sana.
Chadema siku zote wana akili kuliko ccm.
 
Back
Top Bottom