Chadema wanawaza kizamani sana eti Wizi wa Kura ni Kwenye yale Makaratasi ndani ya Box. Wizi wa Kura ni Rushwa inayoiba Fikra za mpiga Kura!

Chadema wanawaza kizamani sana eti Wizi wa Kura ni Kwenye yale Makaratasi ndani ya Box. Wizi wa Kura ni Rushwa inayoiba Fikra za mpiga Kura!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimeshangaa sana mtoto wa Mjini na Kiongozi wa siasa Kwa Miaka 34 Mzee Freeman Mbowe kuamini kuwa Kura zikihesabiwa mbele ya Camera ndio hazijaibiwa

Kwa Maana hiyo Chadema mko nyuma sana kifikra yaani mko zama za Mita 200 Kutoka Kituo cha Kupigia Kura 😂

Hapo Kenya Ili Ruto ashinde ilibidi uchaguzi wa Rais Kwa Watu wa Mombasa ufanyike Siku tofauti na County nyingine, Ule ndio mfano wa Wizi wa Kura wa Kizazi hiki

CCM wataendelea kuwachapa sana 😂😂
 
Nimeshangaa sana mtoto wa Mjini na Kiongozi wa siasa Kwa Miaka 34 Mzee Freeman Mbowe kuamini kuwa Kura zikihesabiwa mbele ya Camera ndio hazijaibiwa

Kwa Maana hiyo Chadema mko nyuma sana kifikra yaani mko zama za Mita 200 Kutoka Kituo cha Kupigia Kura [emoji23]

Hapo Kenya Ili Ruto ashinde ilibidi uchaguzi wa Rais Kwa Watu wa Mombasa ufanyike Siku tofauti na County nyingine, Ule ndio mfano wa Wizi wa Kura wa Kizazi hiki

CCM wataendelea kuwachapa sana [emoji23][emoji23]
We ni mwehu kila mara unaanzisha uzi wa chadema.
Ushakua mtopokaji kama lisu.
Mtanyeq ndoo wote nyambafu
 
Nimeshangaa sana mtoto wa Mjini na Kiongozi wa siasa Kwa Miaka 34 Mzee Freeman Mbowe kuamini kuwa Kura zikihesabiwa mbele ya Camera ndio hazijaibiwa

Kwa Maana hiyo Chadema mko nyuma sana kifikra yaani mko zama za Mita 200 Kutoka Kituo cha Kupigia Kura 😂

Hapo Kenya Ili Ruto ashinde ilibidi uchaguzi wa Rais Kwa Watu wa Mombasa ufanyike Siku tofauti na County nyingine, Ule ndio mfano wa Wizi wa Kura wa Kizazi hiki

CCM wataendelea kuwachapa sana 😂😂
Hizi pombe za mchana zimekuwa kama ibada kwako yaani akili yako imefubaa imekuwa kama ya yule chawa Lucas Mwashambwa.
 
Back
Top Bottom