LGE2024 CHADEMA wanishawishi nikajiandikishe

LGE2024 CHADEMA wanishawishi nikajiandikishe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Chadema wanishawishi , maana naona iwe jua iwe mvua ccm itashinda. Sasa waniashawishi
1. Hawatalalamika kama kura zao zimeibiwa?
2. Watazilinda kura zao?
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 3
Back
Top Bottom