Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Sijawahi kuelewa unachoandika. Ubongo upo kweli huko upstairs?
Kama hauwezi kumuelewa una shida tena kubwa sanaSijawahi kuelewa unachoandika. Ubongo upo kweli huko upstairs?
Utaelewaje na Ubongo walikutoa?Sijawahi kuelewa unachoandika. Ubongo upo kweli huko upstairs?
Ukwaju na mbilimbi nakupitishia...Sijawahi kuelewa unachoandika. Ubongo upo kweli huko upstairs?
Hapa jf unafanya nn kitu kidogo huelewiSijawahi kuelewa unachoandika. Ubongo upo kweli huko upstairs?
umemaliza kila kituUtaelewaje na Ubongo walikutoa?View attachment 2393133
Hahaha ccm bana, wansema chadema imekufa?CHADEMA wapo kimya ila CCM wenyewe kila siku ndiyo wamekuwa wasemaji kwa niaba ya CHADEMA. Yaani CHADEMA wakitaka kusema CCM wanatumia vyombo vya dola kuwazuia kusema, wakikaa kimya bado inakuwa nongwa.
CCM wanaanza kuuliza "Mbona CHADEMA wapo kimya".
Typical lumumba fcsUtaelewaje na Ubongo walikutoa?View attachment 2393133
Kwa kweli CCM wamekuwa wasemaji wa CHADEMA.Typical lumumba fcs