Torra Siabba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 243
- 287
Wana Jamvi salama.
Hebu sikieni hii hapa Kigoma Kusini Chama Cha Demokrasia na Maendeleo walimdhamini mgombea kwa tiketi ya Chadema lakini baada ya Uchambuzi wa Majina, jamaa kajikuta ameteuliwa kugombea kupitia CCM
Jamaa wa Chadema walivyomuona wakaweka pingamizi wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wakamrejesha Chadema.
Baada ya hilo wakamtoa tena kwa maana ya kumkata hana Sifa, sasa hivi hana sifa tena za kugombea.
Hebu sikieni hii hapa Kigoma Kusini Chama Cha Demokrasia na Maendeleo walimdhamini mgombea kwa tiketi ya Chadema lakini baada ya Uchambuzi wa Majina, jamaa kajikuta ameteuliwa kugombea kupitia CCM
Jamaa wa Chadema walivyomuona wakaweka pingamizi wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wakamrejesha Chadema.
Baada ya hilo wakamtoa tena kwa maana ya kumkata hana Sifa, sasa hivi hana sifa tena za kugombea.