CHADEMA wasipojifunza ustaarabu watapoteza malengo

CHADEMA wasipojifunza ustaarabu watapoteza malengo

zandrano

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
7,893
Reaction score
8,816
Endapo CHADEMA inataka kufikia malengo yake ya kisiasa basi wanapaswa kubadilika au kubadili aina ya style waliyo izoea kuitumia.

1. Waachane kabisa na lugha za matusi na kejeli ambazo tangu awali wamezizoea. Mara nyingi viongozi wa CHADEMA na hata wafuasi wake wamekuwa wakitumia kauli za matusi na kejeli wakidhani kuwa hiyo ni njia sahihi ya kujenga hoja au kushinikiza jambo. Lugha za matusi zinafanya watu wengi waone chadema ni chama cha wahuni.

2. Acheni ubabe na Jazba, wote kwa viongozi na wanachama. Ubabe na jazba havijengi bali vinabomoa, hivi karibuni mwenyekiti wa chama amesikika akitamka kwa jazba na ubabe kushinikiza juu ya upatikanaji wa katiba mpya na kuhamasisha maandamano.

Viongozi wa Chadema badilikeni au kwa lugha nyine mnapaswa mjivue gamba endapo tu mnataka kufanikiwa malengo yenu ya kisiasa vinginevyo mtaangukia pua.

Mmeanza kulikoroga tena katika awamu hii ya 6, badilikeni.
 
Bwana zandrano hapa chini ni bandiko lako jingine:

IMG_20210706_063950_253.jpg


Bila shaka unaweweseka. Hushangai Yanga kuishauri Simba mbinu bora za ushindi ili iweze kushinda katika mechi ambayo mahasimu ni wao?

Hiiiiii bagosha!
 
Chadema hawawezi kuacha LUGHA ZA KEDI, KEJELI NA JAZBA.

Lugha hizo ndizo zinashikilia harakati za CHAMA CHAO.

Mfano wa lugha hizo ni zile alizotoa mwenyekiti wao majuzi katika ule mkutano.

Mfano wa lugha hizo ni zile alizotoa Mdude Nyagali dhidi ya Mh. Rais.

Mfano wa lugha hizo ni yale maneno ya TL kipindi Cha kampeni za uchaguzi dhidi ya mgombea wa urais wa CCM alimshambulia personally kwa maneno yasiyo na utu na kukihirisha. REJEENI VIDEO CLIPS ZAKE.

#KaziIendelee
 
La sivyo Panga la Msajili wa vyama vya siasa litawafyeka bila huruma. Mpaka sasa Msajili wa vyama anakusanya ushahidi tu.
 
Kwahiyo unataka chadema wawe malofa ili mjiamulie mambo kadri mnavyotaka kama alivyofanya Magufuli?

Kwenye nchi yenye watu zaidi ya milioni 60 lakini CCM walilazimisha wabunge wapite bila kupingwa.
 
Mlimtukana MWENYEKITI WA CCM katika kampeni za 2020.

Lissu alimshambulia personally mwenyekiti wa CCM.

Haishangazi kuona MWENYEKITI WA UVCCM AKIWAJIBU MANENO YENU MAKALI.

HAISHANGAZI KUONA KIJANA WA CCM SHAKA HAMDU SHAKA AJIWAJIBU MANENO YENU MAKALI.

Mbona hamkujibiwa na mwenyekiti wetu Kama ALIVYOSHAMBULIA MWENYEKITI WENU JUZI PALE UKUMBINI?

Yaani mnataka MTUKANE NA MJE KISHARI bila kukabiliwa hivyohivyo na vijana wa CCM?

TO EVERY ACTION THERE IS AN EQUAL AND OPPOSITE REACTION

#KaziIendelee
#UchumiKwanza

Kuna zingine umezisahau hapa:

View attachment 1842888
View attachment 1842889
View attachment 1842891

Hata za kubaki na m@vi, kutuliza mat@ko na nyingine ukizikumbuka itapendeza zaidi.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Mhe. Mwenyekiti Freeman Mbowe, Chama kinakosa maadili, viongozi hawana maadili matusi kauli chafu ndio umekuwa utamaduni wa viongozi wa chadema na hata mashabiki wanaiga kutoka kwa viongozi wakidhani ndio mbinu pekee ya kupambana na hoja.

Mwenyekiti na Katibu mnayo dhima ya kukijenga chama UPYA ktk misingi ya Nidhamu, Maadili na uungwana.

Tujenge hoja zenye ushawishi, matusi hayashawishi bali yanakiondolea heshima chama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlimtukana MWENYEKITI WA CCM katika kampeni za 2020.

Lissu alimshambulia personally mwenyekiti wa CCM...
 
Pia umefika wakati sasa viongozi waliokaa madarakani kwa muda mrefu ama kwa kuteuliwa ama kwa kuchaguliwa, kama Tundu Mbowe nk. Wakae pembeni!! wapishe damu changa na mawazo mapya.

Mjuwe vilevile kuwa kuna kuchokwa na wanachama.
 
Hapa zinanyukana CCM na Chadema.

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
🤔 Lissu ni ndie alieshambuliwa na Mwenyekiti!
Ninazungumzia maneno makali, ya dharau, kedi na mashambulizi binafsi kwa hayati JPM. Lissu alimshambulia "personally" kinyume kabisa na kampeni za kistaarabu na za kihoja sishangai watanzania kumpuuza na kumnyima KURA.
 
Tunapoelekea wengine tutawakimbia hao chadema,najiuliza wanashindwa kuwa na kauli nzuri bila kejeli na matusi?

Badilikeni Chadema wafuasi wapo ila sio wote tunafurahishwa na hizo kauli zenu za kebehi, kama vile kauli za jiwe zilituudhi wengine basi hata na zenu zisizo na busara zinatukwaza!
 
Chadema wanadhani kutumia mbinu zile zile wanaweza kufanikiwa malengo yao? kamwe hawatofanikiwa.
endapo wataendelea kutumia mbinu za matusi/lugha chafu, ubabe, fitina na chokochoko kamwe hawatoweza kufanikiwa.
binafsi nataka kuona chadema inabadikllika ili kuvutia wanachama wengi zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom