CHADEMA wasomeni watanzania siasa za shari na matusi hawazitaki kutokana malezi,elimu na utamaduni wetu msilinganishe ni Gen Z ya Kenya

CHADEMA wasomeni watanzania siasa za shari na matusi hawazitaki kutokana malezi,elimu na utamaduni wetu msilinganishe ni Gen Z ya Kenya

Shotocan

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
6,650
Reaction score
12,711
CHADEMA wasomeni watanzania siasa za shari hawazitaki kutokana malezi,elimu na utamaduni wetu msilinganishe na Gen Z ya Kenya wale

Gen Z ya Kenya wamelekewa malezi ya kizungu kuanzia malezi ya nyumbani, Elimu na tamaduni wanapenda za kizungu zaidi

Watanzania kuanzia nyumbani malezi yetu ya kiswahili kutomdharau mkubwa wako iwe kwa kuzaliwa,nyumbani kazini,nk hata kama ni bwege

Ukija elimu yetu ya msingi ambayo ndio base kuu mtoto hufunzwa royalty ya juu mno

Utamaduni wa Watanzania pia haupendi ugomvi wa aina yeyote Kenya wamezoea maugomvi kuanzia ya kikabila nk na hupenda ugomvi
Ukijumlisha na elimu ya kizungu ya kudai haki hata ukiwa mtoto bila woga toka shule za chini imewajengea jeuri toka wadogo

Tanzania mfumo wote ni matunda ya makezi,elimu na utamaduni wa kitanzania.Iwe kwa bunge, mahakama,Serikali au vyombo vya dola na wananchi

Linapokuja swala la jambo la shari katika jamii mfano la kisiasa makundi asilimia kubwa yote huungana kupinga kwa nguvu zote kupinga kuanzia wananchi,vyombo vya dola,bunge,mahakama na serikali

Siasa za shari kwa Tanzania ngumu kukubalika ndio Maana CUF walijaribu Zanzibar wakashindwa wakaishia kuzalisha wakimbizi tu na CHADEMA imeshajaribu jaribu mara ya mwisho 2015 ikashinfikana akina Lema wakaishia tu kutimkia Canada kama wakimbizi

Na kila la shari likizimwa wananchi unakuta hawajali utafikiri hakuna kilichotokea wanaendelea na maisha yao kama kawaida utafikiri huyo Sugu aliyebondwa virungu na polisi si lolote si chochote hawahitaji kutilia maanani utafikiri sio binadamu aliyebondwa virungu

Mtu kutaka kufia Watanzania sijui kuwapigania hawahitaji matumizi ya shari ukiingia kwenye shari wanakupinga na ukibondwa na polisi na kuswekwa ndani hawajali kabisa tena utasikia mzazi anamwambia kijana wake kama ukienda kushiriki hayo maandamano ya shari ukabondwa na polisi ukalazwa hospitali au ukaswekwa ndani siji kukuona mimi wala mama yako na wala hela ya tiba sitoi wala dhamana kukutoa jela wafanye hao hao waliokutuma ufanye shari sotaki shari mimi.Ndio maana vijana wengi hawatoki kwenye maandamano ya shari au chochote cha shari kisiasa

CHADEMA wawasome Watanzania wavadili mbinu matusi kutukana viongozi na shari si sehemu ya malezi,elimu na utamaduni wa mtanzania

Badilini gia msiige Kenya
 
CHADEMA wasomeni watanzania siasa za shari hawazitaki kutokana malezi,elimu na utamaduni wetu msilinganishe ni Gen Z ya Kenya wale

Gen Z ya Kenya wamelekewa malezi ya kizungu kuanzia malezi ya nyumbani, Elimu na tamaduni wanapenda za kizungu zaidi

Watanzania kuanzia nyumbani malezi yetu ya kiswahili kutomdharau mkubwa wako iwe kwa kuzaliwa,nyumbani kazini,nk hata kama ni bwege

Ukija elimu yetu ya msingi ambayo ndio base kuu mtoto hufunzwa royalty ya juu mno

Utamaduni wa Watanzania pia haupendi ugomvi wa aina yeyote Kenya wamezoea maugomvi kuanzia ya kikabila nk na hupenda ugomvi
Ukijumlisha na elimu ya kizungu ya kudai haki hata ukiwa mtoto bila woga toka shule za chini imewajengea jeuri toka wadogo

Tanzania mfumo wote ni matunda ya makezi,elimu na utamaduni wa kitanzania.Iwe kwa bunge, mahakama,Serikali au vyombo vya dola na wananchi

Linapokuja swala la jambo la shari katika jamii mfano la kisiasa makundi asilimia kubwa yote huungana kupinga kwa nguvu zote kupinga kuanzia wananchi,vyombo vya dola,bunge,mahakama na serikali

Siasa za shari kwa Tanzania ngumu kukubalika ndio Maana CUF walijaribu Zanzibar wakashindwa wakaishia kuzalisha wakimbizi tu na CHADEMA imeshajaribu jaribu mara ya mwisho 2015 ikashinfikana akina Lema wakaishia tu kutimkia Canada kama wakimbizi

Na kila la shari likizimwa wananchi unakuta hawajali utafikiri hakuna kilichotokea wanaendelea na maisha yao kama kawaida utafikiri huyo Sugu aliyebondwa virungu na polisi si lolote si chochote hawahitaji kutilia maanani utafikiri sio binadamu aliyebondwa virungu

Mtu kutaka kufia Watanzania sijui kuwapigania hawahitaji matumizi ya shari ukiingia kwenye shari wanakupinga na ukibondwa na polisi na kuswekwa ndani hawajali kabisa tena utasikia mzazi anamwambia kijana wake kama ukienda kushiriki hayo maandamano ya shari ukabondwa na polisi ukalazwa hospitali au ukaswekwa ndani siji kukuona mimi wala mama yako na wala hela ya tiba sitoi wala dhamana kukutoa jela wafanye hao hao waliokutuma ufanye shari sotaki shari mimi.Ndio maana vijana wengi hawatoki kwenye maandamano ya shari au chochote cha shari kisiasa

CHADEMA wawasome Watanzania wavadili mbinu matusi kutukana viongozi na shari si sehemu ya malezi,elimu na utamaduni wa mtanzania

Badilini gia msiige Kenya
Bila kumung'unya maneno: Hayo mafunzo ya kabila lenu au dini yenu ndiyo yametufikisha hapa. Badala ya mtoto kumpeleka shule unaanza kumfundisha ngono, Yaani mtoto miaka 9 anajua ngono sasa utalinganisha na wengine kama Kenya au Zambia; yaani kimaadili; nyie waswahili hobby kubwa ya maisha yenu ni ngono. Hoby(lizing) sex; hicho ndiyo urithi wenu
 
CHADEMA wasomeni watanzania siasa za shari hawazitaki kutokana malezi,elimu na utamaduni wetu msilinganishe ni Gen Z ya Kenya wale

Gen Z ya Kenya wamelekewa malezi ya kizungu kuanzia malezi ya nyumbani, Elimu na tamaduni wanapenda za kizungu zaidi

Watanzania kuanzia nyumbani malezi yetu ya kiswahili kutomdharau mkubwa wako iwe kwa kuzaliwa,nyumbani kazini,nk hata kama ni bwege

Ukija elimu yetu ya msingi ambayo ndio base kuu mtoto hufunzwa royalty ya juu mno

Utamaduni wa Watanzania pia haupendi ugomvi wa aina yeyote Kenya wamezoea maugomvi kuanzia ya kikabila nk na hupenda ugomvi
Ukijumlisha na elimu ya kizungu ya kudai haki hata ukiwa mtoto bila woga toka shule za chini imewajengea jeuri toka wadogo

Tanzania mfumo wote ni matunda ya makezi,elimu na utamaduni wa kitanzania.Iwe kwa bunge, mahakama,Serikali au vyombo vya dola na wananchi

Linapokuja swala la jambo la shari katika jamii mfano la kisiasa makundi asilimia kubwa yote huungana kupinga kwa nguvu zote kupinga kuanzia wananchi,vyombo vya dola,bunge,mahakama na serikali

Siasa za shari kwa Tanzania ngumu kukubalika ndio Maana CUF walijaribu Zanzibar wakashindwa wakaishia kuzalisha wakimbizi tu na CHADEMA imeshajaribu jaribu mara ya mwisho 2015 ikashinfikana akina Lema wakaishia tu kutimkia Canada kama wakimbizi

Na kila la shari likizimwa wananchi unakuta hawajali utafikiri hakuna kilichotokea wanaendelea na maisha yao kama kawaida utafikiri huyo Sugu aliyebondwa virungu na polisi si lolote si chochote hawahitaji kutilia maanani utafikiri sio binadamu aliyebondwa virungu

Mtu kutaka kufia Watanzania sijui kuwapigania hawahitaji matumizi ya shari ukiingia kwenye shari wanakupinga na ukibondwa na polisi na kuswekwa ndani hawajali kabisa tena utasikia mzazi anamwambia kijana wake kama ukienda kushiriki hayo maandamano ya shari ukabondwa na polisi ukalazwa hospitali au ukaswekwa ndani siji kukuona mimi wala mama yako na wala hela ya tiba sitoi wala dhamana kukutoa jela wafanye hao hao waliokutuma ufanye shari sotaki shari mimi.Ndio maana vijana wengi hawatoki kwenye maandamano ya shari au chochote cha shari kisiasa

CHADEMA wawasome Watanzania wavadili mbinu matusi kutukana viongozi na shari si sehemu ya malezi,elimu na utamaduni wa mtanzania

Badilini gia msiige Kenya
Ma CHAWA mmeanza KUKOSA hoja
 
CHADEMA wasomeni watanzania siasa za shari hawazitaki kutokana malezi,elimu na utamaduni wetu msilinganishe na Gen Z ya Kenya wale

Gen Z ya Kenya wamelekewa malezi ya kizungu kuanzia malezi ya nyumbani, Elimu na tamaduni wanapenda za kizungu zaidi

Watanzania kuanzia nyumbani malezi yetu ya kiswahili kutomdharau mkubwa wako iwe kwa kuzaliwa,nyumbani kazini,nk hata kama ni bwege

Ukija elimu yetu ya msingi ambayo ndio base kuu mtoto hufunzwa royalty ya juu mno

Utamaduni wa Watanzania pia haupendi ugomvi wa aina yeyote Kenya wamezoea maugomvi kuanzia ya kikabila nk na hupenda ugomvi
Ukijumlisha na elimu ya kizungu ya kudai haki hata ukiwa mtoto bila woga toka shule za chini imewajengea jeuri toka wadogo

Tanzania mfumo wote ni matunda ya makezi,elimu na utamaduni wa kitanzania.Iwe kwa bunge, mahakama,Serikali au vyombo vya dola na wananchi

Linapokuja swala la jambo la shari katika jamii mfano la kisiasa makundi asilimia kubwa yote huungana kupinga kwa nguvu zote kupinga kuanzia wananchi,vyombo vya dola,bunge,mahakama na serikali

Siasa za shari kwa Tanzania ngumu kukubalika ndio Maana CUF walijaribu Zanzibar wakashindwa wakaishia kuzalisha wakimbizi tu na CHADEMA imeshajaribu jaribu mara ya mwisho 2015 ikashinfikana akina Lema wakaishia tu kutimkia Canada kama wakimbizi

Na kila la shari likizimwa wananchi unakuta hawajali utafikiri hakuna kilichotokea wanaendelea na maisha yao kama kawaida utafikiri huyo Sugu aliyebondwa virungu na polisi si lolote si chochote hawahitaji kutilia maanani utafikiri sio binadamu aliyebondwa virungu

Mtu kutaka kufia Watanzania sijui kuwapigania hawahitaji matumizi ya shari ukiingia kwenye shari wanakupinga na ukibondwa na polisi na kuswekwa ndani hawajali kabisa tena utasikia mzazi anamwambia kijana wake kama ukienda kushiriki hayo maandamano ya shari ukabondwa na polisi ukalazwa hospitali au ukaswekwa ndani siji kukuona mimi wala mama yako na wala hela ya tiba sitoi wala dhamana kukutoa jela wafanye hao hao waliokutuma ufanye shari sotaki shari mimi.Ndio maana vijana wengi hawatoki kwenye maandamano ya shari au chochote cha shari kisiasa

CHADEMA wawasome Watanzania wavadili mbinu matusi kutukana viongozi na shari si sehemu ya malezi,elimu na utamaduni wa mtanzania

Badilini gia msiige Kenya
Mtoto mdogo Huwa wanaakili sharp sana na Kila swali utakalomuuliza majibu yake ni sahihi ila sio lazima yaendane na muktadha.

Akiwa mtu mzima kidogo anaanza kuwa Muongozo na asipodhibitiwa tabia ya kusema uongo ukubwani huendelea kuwa Muongozo, haaminiwi, hupenda kujipendekeza na huongea pasipo kushirikisha ubongo vyema.

Mada Yako inashibihiana na mtu wa namna hiyo.

Thibitisha Chadema inaleta vurugu "wakoloni waliwaita Wadai uhuru wachochezi"
 
Back
Top Bottom