Pre GE2025 CHADEMA watembelea Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (Legal and Human Rights Centre - LHRC)

Pre GE2025 CHADEMA watembelea Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (Legal and Human Rights Centre - LHRC)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
IMG-20250228-WA0284.jpg

Mapema leo tarehe 28 Februari 2025 viongozi wakuu wa Chama wakiongozwa na mwenyekiti Taifa Tundu Lissu wametembelea Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (Legal and Human Rights Centre - LHRC) na kupokelewa na Kaimu Mkurugenzi Wakili Fulgence Masawe.

Hii ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya viongozi kukutana na taasisi mbalimbali na watu mashuhuri kufanya nao mazungumzo na kufikisha ujumbe wa #NoReformsNoElection.

Mwenyekiti ameambata na Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. HecheJohn, Katibu Mkuu Mnyika na Naibu Katibu Mkuu Bara Amani Golugwa.
IMG-20250228-WA0283.jpg
IMG-20250228-WA0282.jpg
IMG-20250228-WA0281.jpg
 
View attachment 3253473
Mapema leo tarehe 28 Februari 2025 viongozi wakuu wa Chama wakiongozwa na mwenyekiti Taifa Tundu Lissu wametembelea Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (Legal and Human Rights Centre - LHRC) na kupokelewa na Kaimu Mkurugenzi Wakili Fulgence Masawe.

Hii ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya viongozi kukutana na taasisi mbalimbali na watu mashuhuri kufanya nao mazungumzo na kufikisha ujumbe wa #NoReformsNoElection.

Mwenyekiti ameambata na Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. HecheJohn, Katibu Mkuu Mnyika na Naibu Katibu Mkuu Bara Amani Golugwa.
View attachment 3253474View attachment 3253475View attachment 3253476
Kwa Chadema miezi mitatu ni kama miaka mitano
 
View attachment 3253473
Mapema leo tarehe 28 Februari 2025 viongozi wakuu wa Chama wakiongozwa na mwenyekiti Taifa Tundu Lissu wametembelea Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (Legal and Human Rights Centre - LHRC) na kupokelewa na Kaimu Mkurugenzi Wakili Fulgence Masawe.

Hii ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya viongozi kukutana na taasisi mbalimbali na watu mashuhuri kufanya nao mazungumzo na kufikisha ujumbe wa #NoReformsNoElection.

Mwenyekiti ameambata na Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. HecheJohn, Katibu Mkuu Mnyika na Naibu Katibu Mkuu Bara Amani Golugwa.
View attachment 3253474View attachment 3253475View attachment 3253476
Lema simuoni, au yupo ktk gari?
 
Safi sana!
Huu ni mkakati mazuri sana katika kueneza No Reform No Election.

Kuyashirikisha makundi yote ya kijamii ni suala la muhimu sana.
 
Back
Top Bottom